Hii ni miwani aina gani na inatibu tatizo gani la macho?

Hii ni miwani aina gani na inatibu tatizo gani la macho?

Kijana si umesema umepewa na watu wa NG'os eeenh yani wazungu zungu? Haya sawa sisi tupo
 
Kuna wakati niliwahi kujivalia miwani jamii hiyo njia nzima nilikuwa naruka mashimo.
 
Mkuu
Wataalam Wanakuja Ila Hutakiwi Kutumia Miwani Yoyote Hata Tinted
Mpaka Ufanyiwe Vipimo Ndiyo UtAambiwa Inayokufaa Kuitumia
 
Miwani ni stara ya macho iwe unaumwa macho au huumwi macho kama ambavyo unavaa nguo na kujistiri........

Mazingira yetu tunayoishi yanachangia sana kuharibu macho yetu kwa namna moja au nyingine...... kuanzia miale ya mwanga hatari....mavumbi mabaya yaliyobeba wadodo wasioonekana......

Hivyo ni vyema kuvaa miwani hata Ile ya plain ili kuyalinda macho.........

Kama unakaa sana pahala penye jua kali basi jitahidi walau uvae miwani ya kupunguza miale ya jua machoni.....vivo hivyo kwenye mazingira mengine yanayoathiri macho......

Macho ni taa ya ulimwengu hivyo hatuna budi kuyalinda......

NB;
Zingatia maelekezo ya wataalamu
 
Miwani ni stara ya macho iwe unaumwa macho au huumwi macho kama ambavyo unavaa nguo na kujistiri........

Mazingira yetu tunayoishi yanachangia sana kuharibu macho yetu kwa namna moja au nyingine...... kuanzia miale ya mwanga hatari....mavumbi mabaya yaliyobeba wadodo wasioonekana......

Hivyo ni vyema kuvaa miwani hata Ile ya plain ili kuyalinda macho.........

Kama unakaa sana pahala penye jua kali basi jitahidi walau uvae miwani ya kupunguza miale ya jua machoni.....vivo hivyo kwenye mazingira mengine yanayoathiri macho......

Macho ni taa ya ulimwengu hivyo hatuna budi kuyalinda......

NB;
Zingatia maelekezo ya wataalamu
Hapa wengi hawatakuelewa lakini ndio ukweli wenyewe.

Majaribio ni simple tu, vaa miwani kwa masaa mawili tu vuwa iangalie utaona vumbi unatakiwa uifute vumbi, sasa jiulize ukiwa haujavaa miwani lile vumbi huwa linakwenda wapi?

Ni afadhali wazungu wasivae miwani kwa sababu kwao hakuna vumbi wala huwezi kuona mchanga, lakini Bongo miwani ni lazima.

Mimi nina pair zaidi ya 10 za miwani.
 
Hapa wengi hawatakuelewa lakini ndio ukweli wenyewe.

Majaribio ni simple tu, vaa miwani kwa masaa mawili tu vuwa iangalie utaona vumbi unatakiwa uifute vumbi, sasa jiulize ukiwa haujavaa miwani lile vumbi huwa linakwenda wapi?

Ni afadhali wazungu wasivae miwani kwa sababu kwao hakuna vumbi wala huwezi kuona mchanga, lakini Bongo miwani ni lazima.

Mimi nina pair zaidi ya 10 za miwani.
Duuu njoo nkuuzie na izo
 
Hapa wengi hawatakuelewa lakini ndio ukweli wenyewe.

Majaribio ni simple tu, vaa miwani kwa masaa mawili tu vuwa iangalie utaona vumbi unatakiwa uifute vumbi, sasa jiulize ukiwa haujavaa miwani lile vumbi huwa linakwenda wapi?

Ni afadhali wazungu wasivae miwani kwa sababu kwao hakuna vumbi wala huwezi kuona mchanga, lakini Bongo miwani ni lazima.

Mimi nina pair zaidi ya 10 za miwani.
Kweli ndugu yangu.....

Kwa mazingira ya bongo hata siwezi kutembea nje ya mazingira ya nyumbani bila kuvaa miwani.......

Tatizo la wabongo wanaishi kwa mazoea na majungu.......wanaona kuvaa miwani kama ni status flani hivi.......
 
Aliyekudanganya miwani inatibu macho ni nani?
Baada ya kufanyiwa operation ya mtoto wa jicho nikajikuta jicho moja linaona balaa kama roboti, tarehe ya kurudi kumwona daktari nikamwelezea ghafla kaniweka kwenye kifaa, kuuliza, eti anaangalia lenz ya miwani itakayonifaa..

Nikajisemea moyo hii biashara hii.
Nikamwambia achana nayo.

Ila linanisaidia maana kwenye mishe zangu, hata resistor iwe chawa kiasi gani, iwe digits au color code zinakaa..
 
Hello,

Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi

Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.

Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?

Msaada tafadhari

View attachment 3044005View attachment 3044006View attachment 3044007
hiyo ni miwan ya macho hua inatolewa kwa ajili ya watu wenye shida ya presbyopia yan wenye shida ya kusoma na hyperope ambao hawaon karid kwamsaada zaid piga 0776371092
 
Back
Top Bottom