Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
na hata kama una shida ya macho unapimwa unapewa lens yenye namba sahihikama huna shida ya macho huwezi kuzivaa
Miwani hiyo siyo lenzi yako. Tupa.Hello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani???
Msaada tafadhari
HaaaaaaHiz miwan za deal. Zinakusaidia kuona deal za pesa nyingi zilipojificha
Mie Sina shida ya macho nilichukua kuvaa kama fashionMiwani hiyo siyo lenzi yako. Tupa.
Mie siumwi machona hata kama una shida ya macho unapimwa unapewa lens yenye namba sahihi
Nimeitafuta sana comment yako🤣🤣🤣Hiz miwan za deal. Zinakusaidia kuona deal za pesa nyingi zilipojificha
Mjinga huyoNimeitafuta sana comment yako🤣🤣🤣
Ila ww jamaa bhana 😂Mie Sina shida ya macho nilichukua kuvaa kama fashion
Ahahahahah.... kwanini mkuu wangu 511 ?Nimeitafuta sana comment yako🤣🤣🤣
Nilivyoona like yako nikasema lazima uache janbo.Ahahahahah.... kwanini mkuu wangu 511 ?
AHahahah.acha tumfungue macho kijana dunia hii unaweza ukawa umekaa na utajir ila hujui..sema ndio hivyo haqez kuniamin huyuNilivyoona like yako nikasema lazima uache janbo.