jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Vaa tu bro inaongeza nguvu za kiumeHello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari
View attachment 3044005View attachment 3044006View attachment 3044007
Kuna wakati niliwahi kujivalia miwani jamii hiyo njia nzima nilikuwa naruka mashimo.
Daaah... Hiki kizazi kina vilaza wengi sana. Wewe hata D moja unayo kweli?Mie Sina shida ya macho nilichukua kuvaa kama fashion
UdokoziHello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari
View attachment 3044005View attachment 3044006View attachment 3044007
Gen Z ya bongo changamoto sanaHello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari
View attachment 3044005View attachment 3044006View attachment 3044007
Kwamba kaitoa wapi na yanini kama ye mwenyewe haijui haha!
Kabisa...Kwamba kaitoa wapi na yanini kama ye mwenyewe haijui haha!
Hapa wengi hawatakuelewa lakini ndio ukweli wenyewe.Miwani ni stara ya macho iwe unaumwa macho au huumwi macho kama ambavyo unavaa nguo na kujistiri........
Mazingira yetu tunayoishi yanachangia sana kuharibu macho yetu kwa namna moja au nyingine...... kuanzia miale ya mwanga hatari....mavumbi mabaya yaliyobeba wadodo wasioonekana......
Hivyo ni vyema kuvaa miwani hata Ile ya plain ili kuyalinda macho.........
Kama unakaa sana pahala penye jua kali basi jitahidi walau uvae miwani ya kupunguza miale ya jua machoni.....vivo hivyo kwenye mazingira mengine yanayoathiri macho......
Macho ni taa ya ulimwengu hivyo hatuna budi kuyalinda......
NB;
Zingatia maelekezo ya wataalamu
Duuu njoo nkuuzie na izoHapa wengi hawatakuelewa lakini ndio ukweli wenyewe.
Majaribio ni simple tu, vaa miwani kwa masaa mawili tu vuwa iangalie utaona vumbi unatakiwa uifute vumbi, sasa jiulize ukiwa haujavaa miwani lile vumbi huwa linakwenda wapi?
Ni afadhali wazungu wasivae miwani kwa sababu kwao hakuna vumbi wala huwezi kuona mchanga, lakini Bongo miwani ni lazima.
Mimi nina pair zaidi ya 10 za miwani.
Sasa si bora ingekuwa ni sunglass unaweza kuniuzia kama ni brand kubwa,Duuu njoo nkuuzie na izo
Kweli ndugu yangu.....Hapa wengi hawatakuelewa lakini ndio ukweli wenyewe.
Majaribio ni simple tu, vaa miwani kwa masaa mawili tu vuwa iangalie utaona vumbi unatakiwa uifute vumbi, sasa jiulize ukiwa haujavaa miwani lile vumbi huwa linakwenda wapi?
Ni afadhali wazungu wasivae miwani kwa sababu kwao hakuna vumbi wala huwezi kuona mchanga, lakini Bongo miwani ni lazima.
Mimi nina pair zaidi ya 10 za miwani.
Ikapimwe lens power, na ww pia ukapimwe akili.Hello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari
View attachment 3044005View attachment 3044006View attachment 3044007
Baada ya kufanyiwa operation ya mtoto wa jicho nikajikuta jicho moja linaona balaa kama roboti, tarehe ya kurudi kumwona daktari nikamwelezea ghafla kaniweka kwenye kifaa, kuuliza, eti anaangalia lenz ya miwani itakayonifaa..Aliyekudanganya miwani inatibu macho ni nani?
hiyo ni miwan ya macho hua inatolewa kwa ajili ya watu wenye shida ya presbyopia yan wenye shida ya kusoma na hyperope ambao hawaon karid kwamsaada zaid piga 0776371092Hello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari
View attachment 3044005View attachment 3044006View attachment 3044007