Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
DP WorldMniambie kwa kina nisije kuwa nimepigwa na kitu kizito.
Ni kweli kuna nchi ina majengo marefu kiasi kwamba yapite usawa wa Mawingu😅😅
Kuna watu wanamchokoza Mungu, tusije letewa yale yale ya mnara wa BabeliView attachment 2709839
Tz ni nchi na Morroco ni nchi🥵🥵Hapo Tanzania morroco
snow na Clouds are two different Sort of organism?Hiyo Ni snow
Kwani imefika mawinguni ?Naiona Burj Khalifa,jengo refu kuliko yote Duniani,
Dubai hiyo.
Haya ujui ndani ya tz kunasehemu I inaitwa Morocco?Tz ni nchi na Morroco ni nchi🥵🥵
Duh, wapi huko kuwapumbuza watu wasaini mikataba ya hovyo sababu umewapa holiday, nyumba, shopping spree bure?Hapo ni Kule alipokwenda Mfalme Zumaridi.
siku ya kwanza kufika meru nilidhani kuna mtu anachoma msitu kumbe ni ukungu unashuka toka milimani ,pia pale ngorongoro crater palishawahi nitoa ushambaWatoto wa DSM mna shida.
Nenda Meru, Kilimanjaro au Nyanda za Juu kusini uone ukunfu hadi miguuni.
Msamehe bureHaya ujui ndani ya tz kunasehemu I inaitwa Morocco?
Pia kule Manzese kuna sehemu inaitwa Argentina.Haya ujui ndani ya tz kunasehemu I inaitwa Morocco?