Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Aghalabu hiyo hutokea unapoanza kuvaa kondom na kama uko allergic na kondom kama mimi. Kinyume na hapo hilo ni TATIZO!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hasa condom ikiwa ndogo na kukubanaAghalabu hiyo hutokea unapoanza kuvaa kondom na kama uko allergic na kondom kama mimi. Kinyume na hapo hilo ni TATIZO!
1.INAONYESHA MAPENZI YAMEPUNGUA KWAKE.
2.MUULIZE VIZURI JE NI MKE WA MTU?
3.KABLA YA MECHI PUMNZIKA,MAZOEZI, KAZI NGUMU PUNGUZA.
4.USISAHAU KUTUMIA ILE SEX DIET
5. ASUBUHI PIGA CHAI YA UHAKIKA,MCHANA SHIBA SANA JIONI PIA SHINDILIA KIUHAKIKA..POTELEA MBALI UVIMBIWE,JIONI UKIINGIA ULINGOZI UTASHINDWA KUMTULIZA.....ABDALA KICHWA WAZI
6.MALARIA,PRESSURE......HUSABABISHA HAYO,YULE JAMAA HUWA ANAJAA DAMU ZAIDI KULIKO INAVYOPUNGUA...KWA AJILI HIYO,KUKIWA NA MATATIZO YA USUKUMAJI WA DAMU.........ATALALA GHAFLA
7.UNAMUAMINI SHEM? MCHEKI KICHWANI KAMA AMEWEKA PINI......UTAKESHA.
8.Naaaaa aaah yanatosha hayo...NILIKUWEPO.
Paka pilipili kwenye kichwa
Pilipili inasaidia nini mkuu!Paka pilipili kwenye kichwa
Nipo na demu wangu hii sasa mara ya pili kutokea! tukiwa 6x6 twacheza cheza jamaa anakuwa kadumu ile mbaya, nikitaka kuogelea jamaa anasinyaa ghafla!!! mwanzoni jamaa alikuwa anadumu toka tu demu anavua hadi tunamaliza mchezo na mara ingine baada ya muda si mrefu anadumu tena na hii si muda mrefu ni kama miezi 6 ilopita. Hali hii inanifanya nijisikie vibaya sana na kuwa mdogo sana! naomba mnaojua sbb mniokolee uhusiano wangu jamani.NIFANYEJE NIWEZE MAINTAIN??
Dogo inabidi uanze kupeleka tungi ili uongeze uwezo wa kuzuia mastress yako yasikuharibie starehe. Gonga nyagi, whiskey au mpigie nyasi utakua na uhakika wa nje-ndani zisizopungua 5,000 kabla ya bao. Kama ukijaribu vyote hivyo afu bado tarimbo lako laendelea kuwa doro, nakushauri uende Bagamoyo- hiyo ngoma inaweza ikawa na mwenyewe na ameilock, inahitaji PIN.
itakua mke w m2 huyo baab ki2mbua kimerogwa hicho.jaribu kwingine
Penye red unamaanisha nini Mkuu?Kapime hospitali,ujue afya yako!usije ukawa punga bure!!!!!!!!!!!
UNAMUAMINI SHEM? MCHEKI KICHWANI KAMA AMEWEKA PINI......UTAKESHA.
Paka pilipili kwenye kichwa
Zipo habari ambazo hazijathibitishwa kisayansi kuwa kama mwenzako akifunga pini katika nguo yake au kichwani mwake au akiweka kijiti/tooth pick kichwani mwake, basi mzee abdallah kichwa wazi hawezi kufurukuta, anakuwa mdogo kama piritoni. Baadhi ya akina dada huwafanyia makusudi wanaume ili kuwakomoa.
NOTE: this situation is not scientifically proved.
Huwenda demu wako amekumbwa na jini mahaba, halitaki umchakachue! Je ulisha test kwa yule demu wako mwingine na mambo yanakuwaje?