HII Ni SAHIHI KWELI?


kweli ndg ht mm anipigiae cm mara kwa mara ndo naic an upendo.na nikweli mwenye upendo hua anajali kujua hali ya ampendae kwa kl dk.
 
dah...watu tupo tofauti eeh.....
mimi nisipoambiwa hivyo naugua.....mahututi kabisaaaa.....
 
Aiiii angekua wangu ningejiona kama malkia.... wewe unasikitika? kweli binaadam tuko tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…