Waafrika tunashangaza sana,
ukiambiwa I love u, una uliza maswali, hukawii siku moja kusema mbona
hanipigi, maana kuna watu eti akipigwa ndiyo anaona anapendwa na mtu.
Hilo neno zuri sana la kukufanya ujue uko peke yako! wengine huita
sweety! Hny! My love, etc, etc, be cool and enjoy maisha.