banalunda
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 231
- 67
Wakuu habarini za majukumu?
Naomba kwa wataalamu nijuzwe hili, mke wangu ametoka kujifungua miezi miwili na nusu iliyopita kwa operation, Thanks God alijifungua salama.
Sasa issue ni kwamba sasa ni miezi miwili na nusu imepita na amecheki amekuta anamimba tena.
Je is it safe kwake kulea mtoto huyu na hiyo mimba?
Naomba kwa wataalamu nijuzwe hili, mke wangu ametoka kujifungua miezi miwili na nusu iliyopita kwa operation, Thanks God alijifungua salama.
Sasa issue ni kwamba sasa ni miezi miwili na nusu imepita na amecheki amekuta anamimba tena.
Je is it safe kwake kulea mtoto huyu na hiyo mimba?