kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Hee Nuz umekunywa uji wa kungumanga🤣 humuoni huyo Jack ChanNaona Sultani Said said hapo sio Oman kweli🤪
Jack Chan ana vaa balakashiaaa mkuu😬Hee Nuz umekunywa uji wa kungumanga🤣 humuoni huyo Jack Chan
Tumia kuogea na dawa za kusafisha nyota.Eti wakuu,hii ni sarafu ya nchi gani na iko na value gani?
Mpwayungu hapa mitaa ya Congo na lindi chuma ni 300Haitumiki na hiyo sio gold ni sliver kwahiyo kapime kwenye mzani kilo ya chuma ni buku
Angalia tena hio jero ina kofia ya kichina ile ya masikio pembeni😂. Wa Zanzibari wakiona comment yako wataleta rusha roho mtaani huko🤣Jack Chan ana vaa balakashiaaa mkuu😬
Acha uongo hiyo ni sarafu ya korea kusini huoni hata manadishi hayoChina samani yake sawa na bakuli la uji wa jero😁
Mkuu mimi naona ufunguo sijui jembe na alama za hesabu tu hapo🤣🤣
Pesa za waganga hizo
🤣🤣Hee Nuz umekunywa uji wa kungumanga🤣 humuoni huyo Jack Chan
South KoreaKorea