Hii ni sawa kwa mwanaume kufanya hivi?

Hii ni sawa kwa mwanaume kufanya hivi?

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Nimetoa mahali mie sio muhusika huyu mtu anaomba ushauri wenu.

Anaishi na mkewe na wameoana ila mke wake anamkasirikia maana huyu kaka analala kitanda kimoja na namama yake. Yeye amesema wala hana mauhusiano ya mapenzi namama yake ila anaona raha kuwa na mama ake kila mahali.

Anamtoa mama yake out, anamwambia mama yake kila kitu anachofanya namkewe hadi wakifanya mapenzi eti kama anamridhisha au lah mama ndio anamua. Mama yake huingia chumbani mwa huyo mwanae na anamfulia nguo nakumpikia chakula apendacho. Na ikifika ijioni anaenda kulala kwa mama sio chumbani kwake na mke wake.

Anaomba ushauri kwanini mke wake anakasirika ilihali yeye hana kosa lolote nikulala na mama yake tu tena kitanda kimoja?

Anaomba ashauriwe.
 
ANaomba ushauri kwanini mke wake anakasirika ilihali yeye hana kosa lolote nikulala na mama yake tu tena kitanda kimoja?? Anaomba ashauriwe.
Huyu alitakiwa aende magereza bila kupita mahakani
 
Kwamba Mama Mama Mkwe wake ndo Mchepuko wa mumewe sio?Bila shaka hii ni TATEPA..
 
Mama's boy.

Mwanaume huyo hana akili timamu. Yeye alipaswa kuwa kiongozi mwenye kufanya maamuzi, kumruhusu mama yake kufanya maamuzi katika kila jambo ni kujiondoa kama kiongozi. Hapo ndo kutokuheshimiwa kunaanzia hapo. He doesn't have a masculine frame. A weak man is detestable to women.

Kuhusu kulala na mama yake ni kosa kubwa. Mwanamke ni mtu anayeheshimu hisia kuliko sacrifices ambazo mwanaume atazifanya kwake. Na moja ya kustimulate hisia na kuonyesha emotional bond ni kulala naye kitanda kimoja, anakosa kumbatio lake, anakosa maneno matamu ya kuongea wao wawili.
 
😂💩💩😂 umeyakanyaga huyo ni wewe umeingia kwenye ndoa kichwa kichwa... Mnapenda kuolewa mnadhan ndoa ni matako kwamba lazima uwe nayo ili uweze kukaa
 
Nimetoa mahali mie sio muhusika huyu mtu anaomba ushauri wenu.

Anaishi na mkewe na wameoana ila mke wake anamkasirikia maana huyu kaka analala kitanda kimoja na namama yake. Yeye amesema wala hana mauhusiano ya mapenzi namama yake ila anaona raha kuwa na mama ake kila mahali.

Anamtoa mama yake out,anamwambia mama yake kila kitu anachofanya namkewe hadi wakifanya mapenzi eti kama anamridhisha au lah mama ndio anamua. Mama yake huingia chumbani mwa huyo mwanae na anamfulia nguo nakumpikia chakula apendacho. Na ikifika ijioni anaenda kulala kwa mama sio chumbani kwake na mke wake.
ANaomba ushauri kwanini mke wake anakasirika ilihali yeye hana kosa lolote nikulala na mama yake tu tena kitanda kimoja?? Anaomba ashauriwe.
Moderator amisheni uzi kwenye comedy.
 
Back
Top Bottom