RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
IVI TIGO WANACHOFANYA ni sawa kweli kumuunganisha mteja na huduma bila idhini yake Kisha kumpa kazi ya kujiondoa, nashangaa sana sijui wizara ya tech na habari na mawasililiano na TCRA,WANAFANYA kazi Gani, au ndo wanakazi ya kutetea telecom companies
Screen shot iyo hapo chini ya sms waliyonitumia
Screen shot iyo hapo chini ya sms waliyonitumia