TEK
Senior Member
- Jul 13, 2015
- 184
- 35
Nilipomaliza kidato cha sita nilipata kazi ya kufundisha katika shule moja ya binafsi huku mkoani kwangu.Baada ya mwaka mmoja niliomba kwenda masomoni.
Baada ya kumaliza masomo nilirudi tena pale nilipokuwa, nikafanya kazi kwa muda hadi nilipopata ajira serikalini, baada ya kutoka kwenda serikalini nilipwlekwa polisi baadae mahakamani na mahakama ikaamuru nilipe milioni kama 2 kasoro hivi.
OMBI KWENU: Mimi naomba kwa wenye ujuzi wa haya mambo yanayohusiana na kazi pamoja na haki za waajiri na waajiriwa wanisaidie wapi nilikosea?
NB: Kuna mambo hapo nimeyashorten ilikuifupisha tu hii thread.
Baada ya kumaliza masomo nilirudi tena pale nilipokuwa, nikafanya kazi kwa muda hadi nilipopata ajira serikalini, baada ya kutoka kwenda serikalini nilipwlekwa polisi baadae mahakamani na mahakama ikaamuru nilipe milioni kama 2 kasoro hivi.
OMBI KWENU: Mimi naomba kwa wenye ujuzi wa haya mambo yanayohusiana na kazi pamoja na haki za waajiri na waajiriwa wanisaidie wapi nilikosea?
NB: Kuna mambo hapo nimeyashorten ilikuifupisha tu hii thread.