Hii ni special kwa makada wa CHADEMA

Hii ni special kwa makada wa CHADEMA

Burure

Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
42
Reaction score
96
Tumeona jana mwenyekiti wenu akisema masuala ya ndani ya chama chenu ya yeye kuendelea kuwa Mwenyekiti ni yenu binafsi.

Hivyo basi msiwe mnatushirikisha sisi raia wa kawaida kuhusu mambo yenu na ikitokea mkaonewa kaeni chini na waliowaonea na kutafuta solution na sio kutoka nje na kuanza kuilaumu serikali ya CCM ikiwa hata nyie mkipewa hii Nchi mtaiongoza kama wao au hata chini zaidi kuliko wao.
 
Samahani! Binafsi sijaelewa mada yako... msaada plz( ufafanuzi)
 
Wew unatakaje labda mwalimu nyererw ameongoza taifa kwa miaka mingapi
 
Tumeona jana mwenyekiti wenu akisema masuala ya ndani ya chama chenu ya yeye kuendelea kuwa Mwenyekiti ni yenu binafsi.

Hivyo basi msiwe mnatushirikisha sisi raia wa kawaida kuhusu mambo yenu na ikitokea mkaonewa kaeni chini na waliowaonea na kutafuta solution na sio kutoka nje na kuanza kuilaumu serikali ya CCM ikiwa hata nyie mkipewa hii Nchi mtaiongoza kama wao au hata chini zaidi kuliko wao.
Wewe na “akili “ zako upo CCM?!
 
Back
Top Bottom