Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
-
- #261
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aaah kumbe tayari, namna hiyo ndo inatakiwa sasa
Sasa hauja dakwa bado??Aaah kumbe tayari, namna hiyo ndo inatakiwa sasa
Wee zamani sanaSasa hauja dakwa bado??
Haaaa aisee watu hawachelewiWee zamani sana
Mylove huyo jamaa anatafuta vurugu nsha mwambia atulie. Na wewe usiruhusu akuite ivo.Siunajua Iceman 3D ndio mshipa wa damu yangu, bila yeye mapigo ya moyo wangu yanasimama.
Au alikwambia ameniacha nini?
sikuamini mzee baba, huenda umecheka na nyavu1.Heaven Sent
2.Mzigua90
3.Sakayo
4.Neybright
5.Sky Eclat
Chelewa chelewa utakuta mwana si wakoHaaaa aisee watu hawachelewi
Badam batamwagika kwanza nshavurugwa ngoja ntoke kidogoNaona damu zikiruka hapa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja nikae pemben nishuhudie mtanange
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyie mnawengi sana mnatuchanganya
Mpaka tuone siled bro
kwann yna4[emoji23][emoji23][emoji23] ukorofi huo
hahahaNilitaka kumjibu hvyo hvyo
sawa kakaAaaa
Bro kuwa makini
Daah!!Wee zamani sana
hahaha sijakuelewa chief....nimecheka na nyavu vipi!!?sikuamini mzee baba, huenda umecheka na nyavu
goli kama la balehahaha sijakuelewa chief....nimecheka na nyavu vipi!!?
Nini tena nkamu?Daah!!
hahaha hamna aisee, chitchat tu hapa [emoji3][emoji3]goli kama la bale