Hii ni Special mnoo...Hongera sana Mrembo!!

hahahahahhahaha Aiseeee, umenitoa kapa hapo bhana

mie nakubali tu sina namna maana naweza changanya madafu hapa

BTW huyo kiwatengu ni nani kwako hadi umshikie bango hivyo?
Means hunijui? Kwa hiyo haujakaguliwa wewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…