Nimesikiliza tangu mwanzo kumbukumbu ya Hayati Benjamin William Mkapa. Hii ni Tanzania ya waswahili. Unaandaaje kumbukumbu kama hii na kuiendesha kwa lugha ya kingereza? HAPANA.
Waandaaji wa matukio kama haya kama wa leo UONGOZI INSTITUTE ni vema wakajua kila waandaacho ni kwa ajili ya watanzania na lugha yao ni KISWAHILI.
Asante sana Mhe. Hussein Ally Hassan Mwinyi Rais wa SMZ na baadae Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa JMT kwa kuhutubia hadhara hii kwa lugha ya Taifa Kiswahili.
Waandaaji wa matukio kama haya kama wa leo UONGOZI INSTITUTE ni vema wakajua kila waandaacho ni kwa ajili ya watanzania na lugha yao ni KISWAHILI.
Asante sana Mhe. Hussein Ally Hassan Mwinyi Rais wa SMZ na baadae Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa JMT kwa kuhutubia hadhara hii kwa lugha ya Taifa Kiswahili.