Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Ngoja akagoogle kwanzaTueleze mafanikio yao kwa misimu husika.
nami naunga mkonooo hojaaKwangu mimi hii ni timu bora ya wakati wote kwa ngazi ya klabu. Walifanya kila kitu katika mchezo wa soka, walinyanyasa timu zote kubwa, ilikuwa ushafungea kabla ya kuingia uwanjani. Unakubaliana na mimi? Karibu kwa hoja
View attachment 1800256
Barca hii haikuwa bora kuliko iliyompiga madrid 5-0 au iliyomtetemesha fergusonnami naunga mkonooo hojaa
nami naunga mkonooo hojaa
Brasil 1970
Barca hii haikuwa bora kuliko iliyompiga madrid 5-0 au iliyomtetemesha ferguson
Mpira waliocheza usiku wa hizo 5-0 unasemwa hakuna timu yoyote duniani iliyoweza kucheza hivyo.Barca hii haikuwa bora kuliko iliyompiga madrid 5-0 au iliyomtetemesha ferguson
Hii haikuwahi kuchukua ucl kwa hiyo hamna kitu ni kama tu PSG ya Neymar
Majina makubwa lakini kikosi hakikuwa na makali.
Mnataka kumpinga bure mleta mada.. Leta takwimu ya barca hiyo na barca hii ya guardiola.Watoto wa juzi juzi mna shida sana, hii ndio timu bora iliyofikia highest peak kiasi kwamba kilichokuwa kinasubiriwa msimu unaofuata wa 2006/7 ilikuwa ni kushuka kiwango tu. Unaanzaje kumuacha deco, marques, gaucho at his best.. Henry alifika barca ikiwa imeshukaView attachment 1800616
Hapo sawaKwa level ya klabu
Hamna kitu hapo mzeeWatoto wa juzi juzi mna shida sana, hii ndio timu bora iliyofikia highest peak kiasi kwamba kilichokuwa kinasubiriwa msimu unaofuata wa 2006/7 ilikuwa ni kushuka kiwango tu. Unaanzaje kumuacha deco, marques, gaucho at his best.. Henry alifika barca ikiwa imeshukaView attachment 1800616