Hii ni zaidi ya special school mchango wake ni mkubwa kwa taifa.

Hii ni zaidi ya special school mchango wake ni mkubwa kwa taifa.

vigezo vilivyo kufanya uione ni zaidi ya nyingine ni vpi?

Itakuwa pratical paper zinavuja, ndio maana anaona ni zaidi ya nyingine. Elimu ya Tanzania ni kwikwi siku chache kabla ya mtihani wa kuhitimu utaona mnafundisha pratical amabazo utakutana nazo kwenye mtihani. Nimesoma masomo ya sayansi advance na nina ushaidi. Kweli kwa hali hiyo tutafika? te te te Mungu nisaidie mwanangu hasisome Tanzania.
 
"mwanangu kua uyaone elimu imekosa thamani necta imevuja kibaha"-R.O.M.A
huo ndo uspesho unaouongelea

Mpe vidonge vyake, na kufundishwa pratical siku chache kabla ya mtihani na unakutana na kitu kile kile. te te te
 
Back
Top Bottom