Hii nimeshindwa kabisa, nipeni maujanja!!!!

Hii nimeshindwa kabisa, nipeni maujanja!!!!

mimi nadhani hii inategemea mlivyozoeshana tangu mwanzo. mie na mbabe twakata magogo kwa raha zetu hakuna wa kumwogopa mwenzie, tena tunaagana kabisa,a mlango uko wazi, hakuna anayujali. kwa vile tumezoeshana tangu mwanzo haimpi shida na mimi hainipi shida. mweleze tu kua kwa sasa umzima hivyo kukata gogo wakati anakuona wewe binafsi huwezi. Ila siku ukiumwa, mambo yote yataji set yenyewe, maana kuumwa na maswala mengine. nina hakika atakuelewa.
 
ha ha ha....ch ooni ni mahali pa faraga kidogo panahitaji ustaarabu wakati unaposhusha mzigo wako. nikisema faraga basi unatakiwa uwe huko peke yako
 
Mpe haki yake mkeo, siku moja kata gogo mbele yake akuone asikie raha! :eyebrows:
 
kweli kakata ggo mbele ya m2 aliyeyoyote yule kama hujazoea inahitaj moyo sana
 
Miaka 6 ya ndoa na sijui mingapi ya uchumba hajamzoea tu?
Hawa ndo wazee wa kuzima taa,lol
Kuna kipindi chaitwa 'kids say the darniest things', watoto waliulizwa what is lov. Mmoja alisema 'lov is when papaa is using the toilet and mommy just stands there and doesn't think it is GROSS'
kweli kakata ggo mbele ya m2 aliyeyoyote yule kama hujazoea inahitaj moyo sana
 
Mi kukata gogo mbele ya wife sioni tatizo, tatizo ni kukojoa akiwa amenisaidia kushika mashine! Lol! Yaani akinishikia mkojo hautoki kabisa!
 
Huyo wyfe ni noma, nadhan ts a matter ov privacy so tel ha 2let ya fri
 
afu wewe mikono yako inakuwa wapi?

Mi kukata gogo mbele ya wife sioni tatizo, tatizo ni kukojoa akiwa amenisaidia kushika mashine! Lol! Yaani akinishikia mkojo hautoki kabisa!
 
bwaha ha ha,ebwanae mambo ya mavi yanahitaji uhuru yatoke yote,akiwepo vitatoka vipande viwil,8 vyote vinabaki,ndo 2mbo kunguruma cku nzima,we mwambie kuna mbele yke unakosa utamu hvyo hupendi,huyu wife bhna!la msing kama unamkanyagaga vyema bs,mwambie aache uduwanzi
 
Mhh hizi mada tunazoanza kuzijadili sasa, sijui tunaelekea wapi! :juggle:
 
Mwambie tu huwezi!The way yeye anajiskia wazi ndio the way wewe unajiskia huwezi. Kwanza mi sioni kama ni proper watu kua chooni pamoja wakati wa shughuli kama hizo...

Anachong'ang'ania ni kwamba bora nimzoee tu mana siku nikiumwa lazima ni yeye tu atakayenisaidia, sasa ni bora tuzoeane kabisa kwenye hilo.
 
Back
Top Bottom