Hii nimeshindwa kabisa, nipeni maujanja!!!!

Mkuu hayo mambo ni ya kawaida sana, mimi mwanzoni nilikuwa naona noma sana ila now nimeshazoea. Halafu mke wangu akiwa na stori za umbea (Udaku) mara nyingi ananiambia nikiwa nakun***
 
hii ya kuipeleka wodi ya vichaa sio hapa jamvini

Uko sahihi Bujibuji. Hicho ni kichaa. Wapo wanaopenda harufu za vinyesi na huweza hata kujipakaza mwilini na kufurahi. Mchunguze mkeo, hayuko sawa.
 
Au anadhani unaacha gogo nyumba ndogo? Ana wivu uyo hadi na kinyesi chako?
 
mimi na demu wangu hatuwezi kufanya mambo haya,mke na mme sijui.
 

duuhh hii ngumu kidogo hata mi siwezi hii....hahhahaha
 


Angalia na hijadhari, inawezekana mkeo anakukarisha TIGO!!!!!

This is very unusual
 
Keep on dodging kaka na hivyo alivyokueleza ndo daaah i can imagine how sensitive umekuwa juu ya hilo........mwambie u dont find it proper na inakufanya usiwe comfy
 
Au kaka unatoaga mzigo wa maana nini?.Nauliza hivyo kwa kuwa nilishuhudia kijana mmoja ambaye tulipishana mlango mwa choo cha public fulani jamani nilichoona kilinifanya nifikilie mara mbili mbili usize wa diameter ya kiungo kilichopitisha mzigo hule maana Hakuufrashi yaani Utafikili kajifungua mtoto kamtelekeza chooni.
 
dah hii ngumu sana hata mimi siwezi kwa kweli.
 
Bro nafikiri kaa naye chini kwambie kilicho moyoni kama haridhiki bc bora na iwe mbaya banah issue zingine hata kama ni ndoa sio.
 
duh! hapo naomba nijitoe mpak kwenye kukata gogo,hata kama mnapendana kwenye shida na raha! hapana, raha zingine ni za mmojammoja si lazma muwe wote!
 
kuna mambo mengine mara nyingi ni privy kati ya mme na mke........inategemea mmezoeshana ka kiasi gani.......mi mara nyingi naona wanawake ndio wenye aibu zaidi juu ya hii mambo kuliko wanaume........hii kitu ya kunya pamoja.......pia inaendana sana na mambo mengine ambayo ni privy sana..(haswa kwa manzi) mfano......kunyoa mavuzi pamoja(nani amewahi kumwona demu wake au wife akinyoa mavuzi au kwapa???), au kujamba (nani amewahi kumsikia demu au wife wake akijamba kwa nguvu buuuuuuu mbele yake??).......hii mambo yote ina husiana sana na privy sana (haswa kwa mademu)>...........
 

Hahaahahhaahahhahahahahhahahah kudadeki watu wako wa aina mbalimbali....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…