Hii nimeshindwa kabisa, nipeni maujanja!!!!

Duh!!! Hii ni bongonyongo........... Kazi kweli kweli!!!
 
Anachong'ang'ania ni kwamba bora nimzoee tu mana siku nikiumwa lazima ni yeye tu atakayenisaidia, sasa ni bora tuzoeane kabisa kwenye hilo.
Analake jambo huyo. Kwanini aipende ile harufu??? Angalia asije akasaidiwa na watu wengine.
 
Sasa jamani mi siwezi kabisa nahisi kama GoGo halitatoka, yani mtu unakata GoGo halafu mtu akuangalie mi siwezi.!!!.

Hujawahi kushikwa na 'uharo' wewe...halafu ukakimbilia chooni ukakuta kuna mtu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…