Hii nukuu ya Dalai Lama ina maana gani?

Hii nukuu ya Dalai Lama ina maana gani?

Ferruccio Lamborghini

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2020
Posts
1,667
Reaction score
2,595

“The very purpose of religion is to control yourself, not to criticise others.”​

Dalai Lama XIV

1765633-Dalai-Lama-XIV-Quote-The-very-purpose-of-religion-is-to-control.jpg
 
Kwani yeye mwenyewe alikuwa ana maana gani?
 

“The very purpose of religion is to control yourself, not to criticise others.”​

Dalai Lama XIV

View attachment 1999966
Hapo naona ameongelea Mambo mbali mbali kwa concise words (maneno machache lakini yenye maana pana kidogo.
Self-control, yaani kusudio la dini ni kumfanya binadamu awe na kiasi katika mambo yake anayotenda, ambayo hii itamsaidia kutojiletea madhara ya kiroho. Unajua maovu yana madhara makubwa ya kiroho na maovu ni kama mbegu ikishaota rohoni mwako ndiyo tabia za uovu zinakuwa zimeshaota mizizi kwa hiyo ni ngumu na inapelekea uangamifu wa mtu mwenyewe.
Kwa hiyo kusudio la dini ni kumjenga binadamu awe kiumbe wa kiasi.
Criticizing hapa anazungumzia kwamba hata kama utakuwa na self control usiwakosoe ama kupoint mapungufu yao. Kwa point kubwa ya dini siyo kukosoa wengine bali kuwajenga na kuwarekebisha nao waweze kuwa na kiasi katika matendo yao.
Kwa maneno mengine ana maana unaweza umefanikiwa kiimani lakini kujiona mkamilifu ikawa ni kasoro yako itayokupoteza. Kwa kuwaona wasifuata imani ama mafundisho ya dini siyo wakamilifu.
 
Hapo naona ameongelea Mambo mbali mbali kwa concise words (maneno machache lakini yenye maana pana kidogo.
Self-control, yaani kusudio la dini ni kumfanya binadamu awe na kiasi katika mambo yake anayotenda, ambayo hii itamsaidia kutojiletea madhara ya kiroho. Unajua maovu yana madhara makubwa ya kiroho na maovu ni kama mbegu ikishaota rohoni mwako ndiyo tabia za uovu zinakuwa zimeshaota mizizi kwa hiyo ni ngumu na inapelekea uangamifu wa mtu mwenyewe.
Kwa hiyo kusudio la dini ni kumjenga binadamu awe kiumbe wa kiasi.
Criticizing hapa anazungumzia kwamba hata kama utakuwa na self control usiwakosoe ama kupoint mapungufu yao. Kwa point kubwa ya dini siyo kukosoa wengine bali kuwajenga na kuwarekebisha nao waweze kuwa na kiasi katika matendo yao.
Kwa maneno mengine ana maana unaweza umefanikiwa kiimani lakini kujiona mkamilifu ikawa ni kasoro yako itayokupoteza. Kwa kuwaona wasifuata imani ama mafundisho ya dini siyo wakamilifu.
Shukrani sana mzee baba
 
Back
Top Bottom