Hii nyomi ya Mwamposa hapa Kawe naifananisha na ile ya Lowasa wa CHADEMA 2015!

Hii nyomi ya Mwamposa hapa Kawe naifananisha na ile ya Lowasa wa CHADEMA 2015!

Hivi huu mwaka unahusiano gani na maandiko ya kidini..mbna naona watu wanachanganya ya kaisari na mungu!!!
 
kama hakuna picha ni porojo tu na kujipa prom...by da way hyo inaonyesha kuwa watanzania tulio wengi tuko vp kichwani
 
Wote hao ni wajinga tu hawajitambui kabisa. Brain washed.
Kuna mradi fulani nimeuanzisha umetetereka kidogo sasa kademu kangu kamoja kafuasi ka Mwamposa kananiambia ningekuwa naenda naye kwa Mwamposa mradi ungekua umesimama

Nilikaa kimya sikumjibu chochote nikaona kweli yule jamaa kawabrain wash kweli kweli mi nasemaga kawaroga
 
Kuna mradi fulani nimeuanzisha umetetereka kidogo sasa kademu kangu kamoja kafuasi ka Mwamposa kananiambia ningekuwa naenda naye kwa Mwamposa mradi ungekua umesimama

Nilikaa kimya sikumjibu chochote nikaona kweli yule jamaa kawabrain wash kweli kweli mi nasemaga kawaroga
Hata mi Nina kimradi changu cha shamba kuna mpuuzi mmoja ananiambia ili nifanikiwe nikachukue udongo ulioombewa na mwamposa nije kuumwaga shambani anasema Kama siwezi kufika nimuagize hata yeye ataenda kunichukulia. ...ni mtu niliyekuwa namheshimu ila now namuona kama mdudu tu
 
Back
Top Bottom