Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa mfuasi wa yule jamaa yaani unakuwa hautumii akili kila kitu unawaza kitafanikiwa kwa miujiza tu kitu ambacho si kweliHata mi Nina kimradi changu cha shamba kuna mpuuzi mmoja ananiambia ili nifanikiwe nikachukue udongo ulioombewa na mwamposa nije kuumwaga shambani anasema Kama siwezi kufika nimuagize hata yeye ataenda kunichukulia. ...ni mtu niliyekuwa namheshimu ila now namuona kama mdudu tu
Yule jamaa kuna nguvu za giza anatumia sio bure nasikia madawa wanayapataga Nigeria ya kupumbaza watu ila baada ya muda huwa yanaishiwa nguvuHata mimi huwa nawaza sn anawafanyeje?