Hii nyomi ya Mwamposa hapa Kawe naifananisha na ile ya Lowasa wa CHADEMA 2015!

Huyu jamaa anapiga sana pesa za wazembe
 
Ukiwa mfuasi wa yule jamaa yaani unakuwa hautumii akili kila kitu unawaza kitafanikiwa kwa miujiza tu kitu ambacho si kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…