Hii Olimpiki wenye miaka 30 kwenda juu ni wa kutafuta Kwa tochi. Ina maana nishakuwa mtu mzima aisee

Hii Olimpiki wenye miaka 30 kwenda juu ni wa kutafuta Kwa tochi. Ina maana nishakuwa mtu mzima aisee

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Nimetulia zangu na-enjoy zangu, Kwa Raha zangu naburudika na Mashindano ya Olimpiki Paris 2024 yanayofanyika huko Ufaransa.

Nafurahi zangu lakini ghafla nagundua kuna Jambo halipo Sawa hapa. Kila Mashindano ñàona Hakuna weñye umri kama wàngu. Jàmani! Jàmani!

Nikabadili zangu channel niangalie upande Mwingine nako naona wanamichezo wengi wanamiaka 22-27.

Weñye thelasini kwenda juu ni nadra Sana.

Furaha yangu ikayeyuka.
Nimeamua kucheza zangu game tuu.

Hii inamaanisha nini?
Sisi tushaingia kwèñye uzee au vipi?
Mashindano haya yanaubaguzi. Lakini wewe tulia tuu

Nduki🏃🏃
 
Leo Hapa NI wakata Upepo, waendesha baiskeli, waogeleaji Jana usiku Napo wamenikatisha tamaa

Yes, kwa ujumla umri wa washiriki wengi upo kati ya miaka 20 hadi 30 hapo...

Ingawaje wapo kadhaa kama Shelly-Ann, Jose Talou, Shericka, Mujinga hawa wote ni wanakimbia mita 100 wanawake na ni top perfomers na mdogo kuliko wote ana 30 hapo...

Kuna michezo kama fencing, rowing, basketball, equestrian, decathlon etc
 
Yes, kwa ujumla umri wa washiriki wengi upo kati ya miaka 20 hadi 30 hapo...

Ingawaje wapo kadhaa kama Shelly-Ann, Jose Talou, Shericka, Mujinga hawa wote ni wanakimbia mita 100 wanawake na ni top perfomers na mdogo kuliko wote ana 30 hapo...

Kuna michezo kama fencing, rowing, basketball, equestrian, decathlon etc

Ahsante Sana Mkuu
 
Miaka 30 -35 kwenye siasa unaitwa kijana

Mimi huwa nafanya hivi

Kila umri unapoenda huwa naangalia eneo ambalo ntaitwa kijana

Sasa hivi nimeacha mpira nimeingi katika siasa huku siasani ukiwa na 30s unaitwa kijana mdogo

😂😂
Umenifurahisha Sana
Ukifika 50 unaingia kwèñye mfanyabiashara Mkubwa kijana
 
Back
Top Bottom