Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawezekana kama 29yrs ni mtoto.
naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.
Mhindi aliambia penis tulia nakufanzia mipango ama nitakuacha ujitafutie!
Mhindi aliambia penis tulia nakufanzia mipango ama nitakuacha ujitafutie!
hyo nayo kali...
sidhan kama niukame lakin sababu hata ni mara nyng hata kama nina muda mfupi tangu nipige mrad a girl namtemea sumu na hasa akiwa anaelekea elekea hv
Dogo pole. Serikali imewatimua ma-dr. Kwa sasa kila utaalamu wewe pokea tu ." JEMBE LIKISIMAMA,LIMWAGIE LIMAU,LICHAPE FIMBO MBILI NA MWISHO NYUNYIZIA PILIPILI KWENYE MDOMO JEMBE LAKO. Tatizo litaisha
naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.
Ndugu huwezi kutafuta Hoteli ili kupata mlo bila ya kuwa na njaa!.naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.
acha tabia ya kutongoza watoto wa watu