Hii penis vp!

Hii penis vp!

Haahaa nimeshindwa kujizuia kucheka humu kuna watoto wengi sana.

sasa utoto unapatkana wapi katka hilo au talk openly ndo inahusianishwa na umri! pole kiongoz we unacheka wenzio wenye matatizo tunaweka waz
 
ha ha ha ha, una hasira za karibu sana.

Na ukiona papai lililoiva je?
 
inawezekana kama 29yrs ni mtoto.



Nashukuru zaidi kwa kunitajia age,na nitaendelea kusisitiza kile nilichokueleza mwanzo,let time take its control kwa sababu hilo si tatizo ila ni either nguvu zako za libido ni za kiwango kikubwa au unakuwa unajaribu kuleta picha ya huyo mtongozwaji pale atakapokuwa ameshaitikia ombi lako.Mwenzio nimesumbuliwa na tatizo hilo toka nilipokuwa sekondari na kulikuwa na mwalimu wangu wa biology kila alikuwa akiingia darasani basi mimi huku ni mateso na tatizo hilo likaendelea mpaka namaliza college na kuanza kazi,yaani nikimuona binti na kumtamani tu basi ndani ya boxer ni habari nyingine.But with time kila kitu kimerudi kuwa kawaida na sasa I m approaching 40 years na ndio maana nikakuambia vumilia tu ukikuakua kidoga kila kitu kitarudi kuwa sawa..
 
Mh pole kaka angu yawezekana u r too emotional kwa huyo mdada ebu punguza munkari kdogo
 
naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.

Shule kwanza dogo,achana na hayo mambo.
 
Dogo pole. Serikali imewatimua ma-dr. Kwa sasa kila utaalamu wewe pokea tu ." JEMBE LIKISIMAMA,LIMWAGIE LIMAU,LICHAPE FIMBO MBILI NA MWISHO NYUNYIZIA PILIPILI KWENYE MDOMO JEMBE LAKO. Tatizo litaisha
 
Hizi balehe mbaya sana! Nakumbuka miaka ya 80, wakati ndo nabalehe, nilikuwa kila nikienda kuchukua maziwa mtaa wa pili jioni, nlikuwa narudi home nimedinda, kwasababu ya kutongoza videm wakati tunasubiri maziwa. Matokeo yake nlikuwa naongoza kwa kuumwa malaria nyumbani manake nlikuwa nakaa nje getini mpaka hali iwe shwari ndo naingia ndani. Taabu sana!
 
huwa unaona BIGGER PICTURE wakat unatongoza,hah hah hah
 
salaa leee! punguza ugwadu kaka maana inaonekana ukiwa unamwaga sumu akili yako yote inakuwa pale pale.......!punguza ugwadu kaka haya mabo nenda nayo slowly but surely na sio kiujanjaujanja...
sidhan kama niukame lakin sababu hata ni mara nyng hata kama nina muda mfupi tangu nipige mrad a girl namtemea sumu na hasa akiwa anaelekea elekea hv
 
Kwa 7bu mara nyingi unakuwa huna m2 wa kufanya nae mapenzi mara kwa mara
 
Dogo pole. Serikali imewatimua ma-dr. Kwa sasa kila utaalamu wewe pokea tu ." JEMBE LIKISIMAMA,LIMWAGIE LIMAU,LICHAPE FIMBO MBILI NA MWISHO NYUNYIZIA PILIPILI KWENYE MDOMO JEMBE LAKO. Tatizo litaisha

Huu ushauri mwingine sio kabisa.....akifa!!
 
naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.

Usiwe na woga banaa, hilo huwatokea wanaume wengi waliokamilika kama wanaume (kwa kiswahili safi wanajulikana kama marijali) wakati wanazisoma aya za utongozaji....ondoa wasiwasi kabisa...🙂





 
Last edited by a moderator:
naomba mawazo yenu wakuu, mwenzenu kila ninapo kuwa namtupia madin(sound/tongoza) girl uume wangu huwa unasimama, imekaa vp nna tatizo au ndo vp! psychologist nifungukieni .....natanguliza shukran.
Ndugu huwezi kutafuta Hoteli ili kupata mlo bila ya kuwa na njaa!.
Sembuse ukifika hotelini, taswira ya chakula na mandhari ya hiyo Hoteli kama ni nzuri unadhani tumbo linakuwa na hali gani?.
Shukuru Mungu huko hivyo, ila uwe mvumilivu usije umizwa na baraka za Mungu wako.
 
Back
Top Bottom