Hii pesa thamani yake bei gani in Tz?

Hii pesa thamani yake bei gani in Tz?

hoop

Member
Joined
Mar 16, 2017
Posts
45
Reaction score
22
Nimepata pesa imeandikwa

Bank of korea

1000won
1492591698089.jpeg
 
Watanzania tunavyojifanya tuna haraka km pesa zingekuwa zinatangulia kutoka wengi wetu tungekuwa tunasahau kadi kwenye mashine ...maana wengine wakishaona pesa tu akili hupagawa.
 
Mbona mikono yako ina magamba kama nyoka? Nenda google usitusumbue sisi hapa!!
Mkuu we utakuwa mwanaume wa dar, unataka mikono iwe laini kwani mi mwanamke,,,,,kwaio mikono yako ni kama ya dadako pole sana mkuu
 
Ni sawa na dola billion kadhaa za zimbabwe!
 
Back
Top Bottom