CCM ndoo wanaleta Mvua? AuTukiwaambia ccm inajitahidi, mnabisha.
Nitafutie pctr kama hiyo ya kuanzia mwaka 2018, hakuna!
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu maana imefanikiwa kusambaza mito, mabwawa,maziwa, chemichemi karibu nchi nzimaTukiwaambia ccm inajitahidi, mnabisha.
Nitafutie pctr kama hiyo ya kuanzia mwaka 2018, hakuna!
Sent using Jamii Forums mobile app
Waters supply in Tanzania is way better in comparison to Kenya.kweli mkuu maana imefanikiwa kusambaza mito, mabwawa,maziwa, chemichemi karibu nchi nzima
Na kuleta mvua ya barafu na kuiingiza Simba robo fainali champions league Africakweli mkuu maana imefanikiwa kusambaza mito, mabwawa,maziwa, chemichemi karibu nchi nzima
[emoji23][emoji23][emoji23] ni matunda Ya mtukufu mkuu jeshi LA 1 A.K JiweNa kuleta mvua ya barafu na kuiingiza Simba robo fainali champions league Africa
Ya kenya muachie mkenya, yaliyoko bongo ni taaban heri na hayo,. Pigania watu wko.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachekesha sana waKenya, wanajisifu wakati picha zinawaumbuahovyo kabisa
Mambo ya makaratasi unakuta Jitu la kibera linachekelea!!