Mahari.Huyo mweupe mbele ashatolewa maahali
Acheni utopolo!View attachment 2274249
Huyu Mtalii kavaa kimasai inaonekana anafurahia pia kuwa karibu na wamasai ,Nini maana Je wamasai ni sehemu ya utalii walipaswa kuachwa ? Na kama wakiondoka je itapunduza watalii wanaokuja kwa Ajili kuwaona na kuvaa hizi Nguo ?
SawaAcheni utopolo!
Lina husiana vipi na ngorongoro?Naona watoto wenye utapiamlo,
Yaya toure ana njaa?Huyo mtalii mbona kama ana njaa sana....
He unaonaje tukuweke wewe na familia yako kama utaliiView attachment 2274249
Huyu Mtalii kavaa kimasai inaonekana anafurahia pia kuwa karibu na wamasai ,Nini maana Je wamasai ni sehemu ya utalii walipaswa kuachwa ? Na kama wakiondoka je itapunduza watalii wanaokuja kwa Ajili kuwaona na kuvaa hizi Nguo ?
ππππHuyo mtalii mbona kama ana njaa sana....
Kama nna sifa hizo sio mbaya
Huyo si mtalii, huyo amefurahi kuutambua ukoo wake uliopotea miaka mingi.
Huyu Mtalii kavaa kimasai inaonekana anafurahia pia kuwa karibu na wamasai ,Nini maana Je wamasai ni sehemu ya utalii walipaswa kuachwa?
Na kama wakiondoka je itapunduza watalii wanaokuja kwa Ajili kuwaona na kuvaa hizi Nguo?
Huyu msanii masai haendi salon na havai fulana ndani ya shati na hajipaki lotion akawa mrembo hivyo.
Huyu Mtalii kavaa kimasai inaonekana anafurahia pia kuwa karibu na wamasai ,Nini maana Je wamasai ni sehemu ya utalii walipaswa kuachwa?
Na kama wakiondoka je itapunduza watalii wanaokuja kwa Ajili kuwaona na kuvaa hizi Nguo?