sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Watajuana wenyewe. Sijui nani aliwaachia hiyo laana. Naamini kuna hstoria nyingi zi.epotoshwa makusudi na hiyo ndio madhara yake
Hii ndio ya leo telaviv ambayo ina ukweli
Hivi kwanini pande zote zisishambuliwe na jumia ya kimataifa kama kule hiroshima na nagasaak ili ukanda huo utulie? Maana wamezidi kutunishiana misuliHii ndio ya leo telaviv ambayo ina ukweli View attachment 1782955
Hivi unadhani israel hawezi kuichukua Gaza?? Anaweza sana tu, jiulize kwanini hataki.Ha ha ha hao wayuhudi ndio huleta hivyo visingizio baada ya kula kipondo
Mpalestina anajificha ndani ya raia wema ndio maana ni kazi kummaliza, ila mpalestina hajali cha raia wema wala nani analipua tuIsrael has right to protect its country.i stand with Israel against terrorism
Hii ndio ya leo telaviv ambayo ina ukweli View attachment 1782955
'Hawatokubali mayahudi na manasara mpaka mfuate mila zao' ugomvi wa juzi ulianza pale mayahudi walipovaamia mskiti wa Al-Aqsa kuwazuia watu katika ardhi yao kutosali ndio kilifuata kilichotokeaHivi kwanini pande zote zisishambuliwe na jumia ya kimataifa kama kule hiroshima na nagasaak ili ukanda huo utulie? Maana wamezidi kutunishiana misuli
Utakua unazile tabia zao ww sio bureIsrael has right to protect its country.i stand with Israel against terrorism
Na mashoga pia wanakufa ila hawatangazi [emoji23]Mbona wanaokufa wengi ni magaidi lakini
Kipondo anakula nani mkuu? 😀Ha ha ha hao wayuhudi ndio huleta hivyo visingizio baada ya kula kipondo
Mpalestina anajificha ndani ya raia wema ndio maana ni kazi kummaliza, ila mpalestina hajali cha raia wema wala nani analipua tu
Mark you, once upon a time western media and their leadership used to refer to Nelson Mandela and Mahtima Ghandi as seasoned terrorists - unfortunately you seem to emulate western dirty campaign to the letter kwa kuwabatiza wapigania uhuru wa Kipalestina kwamba ni ma terrorist - we mswahili unawezaje ku-support mijitu mikatiri/mikaburu type ya Wayahudi, unatafuta nini unataka Amerika ikuone wewe wa maana kwa kuunga mkono wabaguzi wa Kiyahudi, uba wajibu wa kuunga mkono watu wanao taka kujikomboa hiyo ndio hulka ya Watanzania.Israel has right to protect its country.i stand with Israel against terrorism
Mbona huyo israel hawamilizi hao wapalestina? Hitla sijui kwanini aliwabakisha hawa viumbeMpalestina anajificha ndani ya raia wema ndio maana ni kazi kummaliza, ila mpalestina hajali cha raia wema wala nani analipua tu
Mwaka 1967 jamaa waliungana ili kuifuta Israel. Tafuta kilitokea NiniHivi kwanini pande zote zisishambuliwe na jumia ya kimataifa kama kule hiroshima na nagasaak ili ukanda huo utulie? Maana wamezidi kutunishiana misuli
Hamas,fatah na Palestine organisation siraha zao huziweka kwenye makazi ya watu,hata wakitaka kufanya mashambulizi,rocket launcher zao huzifyaturia kwenye makazi ya watu wengi,Ili watu hao na makazi yatumike kama ngao dhidi ya Israel,wao hutegemea wakiwaweka Raia wakawaida mbele,Israel atashindwa kuwaahambulia kwa kuogopa kukalipiwa na jumuiya ya kimataifa,
Walishaanza kuishika ujerumani, achana kabisa na huyu mu Israel, Ikabidi Hitler atumie tu mabavu kuwatoa akiogopa wa israel watachukua nchi, Maana walikuwa na maendeleo kwa spidi ya radiMbona huyo israel hawamilizi hao wapalestina? Hitla sijui kwanini aliwabakisha hawa viumbe
Punguza chukiMbona huyo israel hawamilizi hao wapalestina? Hitla sijui kwanini aliwabakisha hawa viumbe