Ila kapendeza ingawa ana watoto usingesema shilole unaweza sema riri
Akihojiwa na Salama wa ch 5 aliwahi kusema hawezi kuvaa bikini kwasababu ya mtoto wake. Imekuwaje tena?
Huo muonekano wake na akili zake tofauti , muonekano classic n hot but akili za kiswazi mno
Akihojiwa na Salama wa ch 5 aliwahi kusema hawezi kuvaa bikini kwasababu ya mtoto wake. Imekuwaje tena?
Kwani shishi ameshazaa???
Akihojiwa na Salama wa ch 5 aliwahi kusema hawezi kuvaa bikini kwasababu ya mtoto wake. Imekuwaje tena?
Mimi mwenyew nilijua ka edit, ana muonekano Wa kistaa tena kimbele mbele uko ,sema mwenzetu na sie mziki wake+akili zake# na huu muonekano ,apo kanaonekana kama katoto ka masaki kumbe katoka igunga na mitoto juu
Kwani shishi ameshazaa???
katika maneno elfu atakayoongea shilole amini moja tu
mi nimemfatilia sana interview zake kipindi anaanza kujulikana moja nakumbuka alifanya na gazeti la risasi akasema amezaliwa 1986 na mambo mengi mengi tu
baada ya km miaka miwili kazaliwa1988 na akadai alibakwa jamani!
Toka hapo simuamin tena na ile ya kolabo na jlo ndo kabisa yaani!
Kiukweli ana muonekano wa kistaa na anajitahidi ku ji maintain yani unaweza kufikiri hakai bongo ingawa ana watoto lakini ame rock