Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Katisha sana aiseeh kavaa bikin but she looks sexy , mwambie mama ubaya apige picha na bikini kama hatujakimbiana humu alivyoaribika na michrizi kibao , na apo kazaa duh mziwanda anafaidi kweli
Mastaa wengi wakibongo wanapenda kujidogolisha sijui ili nini miaka yao inarudi nyuma kila interview huwa anabadilika tu
Kavaa behind the scene.Akihojiwa na Salama wa ch 5 aliwahi kusema hawezi kuvaa bikini kwasababu ya mtoto wake. Imekuwaje tena?
mtumeemimi mwenyew nilijua ka edit, ana muonekano wa kistaa tena kimbele mbele uko ,sema mwenzetu na sie mziki wake+akili zake# na huu muonekano ,apo kanaonekana kama katoto ka masaki kumbe katoka igunga na mitoto juu
Mbona kama sio yeyee ,,na wema apige hivyo na hivi ta.ko lake halieleweki lo sijui litakaajee
Jamani sio shilole huyo
Ana watoto wawili