Hii piki piki tatizo nini?

Pole yako,na ndo shda iliyopo kwa wamiliki wa vyombo vya motto kujua yupi fundi makin, lkin moja kwa moja ts seemd umeitumia kwa muda kidogo pkpk ako na nimcheleweshaj mzur tuu wakubadili oil,note_oil ndo damu us pikpik ukiachana na hayo ni hvi
1,aliefunga timing chain either hakukosea na ndo llikua tatzo lkin meyb ulivotoka pale ile chain ilitight(ilijikaza) na ikasababisha mzunguko kutoenda sawa pkpk kuwa nzito na hupata moto saaana inatakiwa ku udjust timing chain kwanza, hyo hufanya kaz kama tapert,
2,kama Moto unafika afu pkpk inatoa moto vizur either inainguza bulb za indicators ,battery,nk jua sumaku la pkpk yako o rectrifire inazalisha moto mwing na kusababisha kuuzidsha moto kuja kwenye rectrifire kabla ya mzunguko thus y betri zinaungua,

Nb_ oil ni muhim costing zote hiz sababu kuu oil
Kuna haja us threads kwa ajir ya pkpk ati aaah
 

Mkuu Oil nimebadil,shida kubwa baada ya jamaa kunifingia timing chain piki piki imekuwa haina nguvu kabisa hata kwenye silencer usipovuta mafuta inazima yenyewe na pia nina uhakika hii battery mpya huyu Fundi kaiua maana alii short circuit.Nimekula hasara kubwa sina hamu na piki piki haiingizi hela ni ya matumizi binafsi tu.
 
Ni sahih haiwez kamata silenc chain ikitight en oil huwa unabadil kwa muda gan, na unaweza kuta mda mwing unatumia speed kal sasa mznguko wa oil unakua mkubwa ubadiloshaj wake unatakiwa uwe wa siku chache na usipende kutumia kilometre za oil itakucost
 
Maoni mazuri ila kuandika in brief/shorts inapunguza radha
 

Oil nabadil ndan ya wiki 2 maana siitumii sana piki piki mpaka niwe na safari zangu..so Mkuu huku kupoteza nguvu na kuzima yenyewe kwenye silencer ni timing chain?maana hata mngurumo umebadilika na nikaenda kwa Fundi mwingine akadai tatizo litakuwa piston
 
Piston ikiisha moja utaona moshi sababu rings zitakua zinapwaya na pili kuna kelele frani hivi hua inatoa kama kitu cha chuma chepesi kinagonga ndani ndo piston na kutokamata silence Mara nyingi huwa ni timing chain kwa tatzo lako angalia adjusting ya timing chain afu utarudisha mrejesho or tapert kwa zinazotumia tapert
 

Mkuu hizo kelele fulani zinasikika kwa mbali.
 

Then juzi wakati najaribu kuwasha kwa starter ikasikika POP sound kwenye bomba..hii nayo inahusiana na Piston au nayo ni timing chain?maana Boxer ilikuwa nzima kabisa kurud kwa Fundi ndio yote hayo.
 
Meyb but nguvu ya pikpk ipo katika oil,timing chain,piston,tapert,crank shaft., Ila tafta fundi mzur adjust chain utanjulsha ila filter ichek pia
 
Meyb but nguvu ya pikpk ipo katika oil,timing chain,piston,tapert,crank shaft., Ila tafta fundi mzur adjust chain utanjulsha ila filter ichek pia
Samahani mkuu, naomba nikuweke sawa, Oil haihusiki na nguvu(power stroke) ya pikipiki. Oil ni kilainishi na wakati mwingine ni kipoozeo. Pia, piston kufa unakuwa na maana ipi? Rings???
 
Samahani mkuu, naomba nikuweke sawa, Oil haihusiki na nguvu(power stroke) ya pikipiki. Oil ni kilainishi na wakati mwingine ni kipoozeo. Pia, piston kufa unakuwa na maana ipi? Rings???
Meyb so mtumiaji mzur wa vyombo vya moto iko hiv oil ikichafuka kupita kias chombo hupoteza nguvu if mliman ulikua unapanda na tatu,.mbili au moja zinakuhusu

Piston kama oil inakua imechelewa kwa muda piston inajikwangua kwenye brock kwa kukosa kirainishi inadababisha michiliz ambayo inajitokeza sehem zote mbil kwenye Brock na piston
 
Mrejesho?

Mkuu nlimpata Mtaalamu akaichek akagundua timing chain iliyotolewa haikuwa na tatzo ila mpya ndo yenye tatzo maana inakaza,so kairekebisha sasa hivi imerudi kuwa hali yake ya kawaida inafanya kazi vizuri kabisa.Nimejifunza kuwa si kila Fundi Piki piki anaweza kutengeneza Boxer zinahitaji Mtaalam bila hivyo anakuharibia,asanten sana kwa ushirikiano wenu mlionipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…