kelvin miho
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 281
- 134
Pole yako,na ndo shda iliyopo kwa wamiliki wa vyombo vya motto kujua yupi fundi makin, lkin moja kwa moja ts seemd umeitumia kwa muda kidogo pkpk ako na nimcheleweshaj mzur tuu wakubadili oil,note_oil ndo damu us pikpik ukiachana na hayo ni hvi
1,aliefunga timing chain either hakukosea na ndo llikua tatzo lkin meyb ulivotoka pale ile chain ilitight(ilijikaza) na ikasababisha mzunguko kutoenda sawa pkpk kuwa nzito na hupata moto saaana inatakiwa ku udjust timing chain kwanza, hyo hufanya kaz kama tapert,
2,kama Moto unafika afu pkpk inatoa moto vizur either inainguza bulb za indicators ,battery,nk jua sumaku la pkpk yako o rectrifire inazalisha moto mwing na kusababisha kuuzidsha moto kuja kwenye rectrifire kabla ya mzunguko thus y betri zinaungua,
Nb_ oil ni muhim costing zote hiz sababu kuu oil
Kuna haja us threads kwa ajir ya pkpk ati aaah
1,aliefunga timing chain either hakukosea na ndo llikua tatzo lkin meyb ulivotoka pale ile chain ilitight(ilijikaza) na ikasababisha mzunguko kutoenda sawa pkpk kuwa nzito na hupata moto saaana inatakiwa ku udjust timing chain kwanza, hyo hufanya kaz kama tapert,
2,kama Moto unafika afu pkpk inatoa moto vizur either inainguza bulb za indicators ,battery,nk jua sumaku la pkpk yako o rectrifire inazalisha moto mwing na kusababisha kuuzidsha moto kuja kwenye rectrifire kabla ya mzunguko thus y betri zinaungua,
Nb_ oil ni muhim costing zote hiz sababu kuu oil
Kuna haja us threads kwa ajir ya pkpk ati aaah