donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Mkuu naskiliza genre zote za muzikiSasa kama mnafuatilia miziki ya wasiojielewa mnatagemea nini kama sio utopolo tu kila siku.
Sure mkuu, Jux hachange kivileNimeusikiliza. Same swagg miaka nenda Rudi.
Ila Ndio nyimbo zake. Huwa akishirikishwa kwenye Afro pop anaimba kama ana maji mdomoni.Sure mkuu, Jux hachange kivile
Kweli Ni mahadhi yanayomsuit wellIla Ndio nyimbo zake. Huwa akishirikishwa kwenye Afro pop anaimba kama ana maji mdomoni.
Nafkiri ubishoo umezidiHuyo Juxx ana swag za kike flan hivi.
Kweli kabisa, Uzuri Wako, Nikuite Nani, Fimbo etc.Jux is loosing it
Nyimbo za zake za zamani zilikua bomba sana
HahahahahaJux mwenyewe Vanessa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah eti nn?Jux mwenyewe Vanessa..
Binti naomba namba zako upenuni. Nashukuru.Sasa huyo jux ana nini labda? Alichobakiza ni kumtaja taja Vanessa, atakuja kufa kwa pressure lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Heeeh [emoji648] tena lol?Binti naomba namba zako upenuni. Nashukuru.
Kama itakupendeza.Heeeh [emoji648] tena lol?