Kipigo atakachopigwa AS Vita pale Congo Ni Cha mbwa kokoHahaahhaa Mikia bana kweli nyie ni Mambumbumbu. Yaani kumfunga yule Mwarabu Koko wa Pemba ndio mnajiona ndio mmefika. Jumamosi si mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena kila bao na vumbi lake,mundende,kasongo nkVumbi la kongo linawasubiri
Nisaidie kumwambia hivi hata huyo Al Ahly atapokea Kipigo kwa Mchina sembuse hicho ki AS Vita [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Wao wanajua bongo kuna amber Rutty tuu so vumbi la Congo linawasubiri.
Hahahaaa. Huyu Swahiba wangu namshangaa sana anapojiita mchambuzi wa Soka wakati nyuzi zake zimekaa kiushabiki kabisa. Atuwacheee. ππππ
Na mie nashangaa ujue Mkuu.Hahaahhaa Mikia bana kweli nyie ni Mambumbumbu. Yaani kumfunga yule Mwarabu Koko wa Pemba ndio mnajiona ndio mmefika. Jumamosi si mbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh. Unasemaaa?
Mmh. Nimekaa najiwazia tu Swahiba kwa mashindano gani anayoshiriki yanga mwaka huu mpaka ukaleta hizi rekodi zako?
Kwa kuwa Brave ni bingwa wa kujisahaulisha. Namtunzia mie. Asije kuyakataa tu.