Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Nani asiyetaka kuona miuno ya Shakira? Hata mimi nitaitafuta.
Sio mbaya alivyofungulia uzi maana mmekuja watu na data zenu kama hivi hadi wengine ambao hawajui wamejua pia.Huyo bro hapo inaonekana ndo mara yake ya kwanza kuingia youtube au kaanza si muda mrefu kuingia youtube...views 123M unasema ni record??? Kwa muzik wa US na Europe??
PSY yule msouth Korea mwanye ngoma ya Gangham Style (spelling) ana views 2billions+, ngoma yake nyingine ya Gentlemen ina views 800Millions+, ngoma ya katy Perry ile ya ROAR ina views 1billions+ same kwa Justin bieber na ngoma yake ya "baby" ...huyo shakira ana ngoma yake na Rihhana inaitwa "i cant remember to forget you" ambayo ina mwaka MMOJA tu, ina views 570millions+...jamaa anashangaa views 123m..hahaha..kafungulia mpaka uzi..
Huyo bro hapo inaonekana ndo mara yake ya kwanza kuingia youtube au kaanza si muda mrefu kuingia youtube...views 123M unasema ni record??? Kwa muzik wa US na Europe??
PSY yule msouth Korea mwanye ngoma ya Gangham Style (spelling) ana views 2billions+, ngoma yake nyingine ya Gentlemen ina views 800Millions+, ngoma ya katy Perry ile ya ROAR ina views 1billions+ same kwa Justin bieber na ngoma yake ya "baby" ...huyo shakira ana ngoma yake na Rihhana inaitwa "i cant remember to forget you" ambayo ina mwaka MMOJA tu, ina views 570millions+...jamaa anashangaa views 123m..hahaha..kafungulia mpaka uzi..
Aliyeleta mada ni mwehu ndio ameanza kutumia internet leo
Nilikua napita pita youtube nikajikumbushia ngoma ya "she wolf" ya shakira hiyo namba ya views sasa ni kiboko (japokua ni kwaida kwa wasanii wa mbele kua na viewers wengi),posted 6yrs ago,number of views m135 na ushee,kilicho nivutia zaidi ni kua wimbo wa miaka 6 iliyopita but still watu wana upenda na ku uangalia mpaka leo!
ingekua kibongo bongo hata kukumbuka jina tu la huo wimbo ingekua shida.
kweli jamaa ni mgeni nyimbo ya wizy khalf ina miezi 4 tu in views mil 860+ inaitwa see u again..
Jamani jamaa kasema hiyo ngoma bado inapendwa pamoja na kuwa ina 6yrs..hizo zote mlizozitoa ni za juzi tu!..
Kuna m'bongo mmoja ananyimbo kama 2 zina viewers 10m+ na hajazifanya nyimbo za taifa japo yeye ni ICON wa taifa,ila nina wasiwasi na wewe inawezekana na wewe ni mgeni wa youtube.Kuna mbogo mmoja akifikisha view 1M inakuwa wimbo wa taifa!
Kuna m'bongo mmoja ananyimbo kama 2 zina viewers 10m+ na hajazifanya nyimbo za taifa japo yeye ni ICON wa taifa,ila nina wasiwasi na wewe inawezekana na wewe ni mgeni wa youtube.
Kama ulikuwa unamaanisha mwimbo wa zamani kuwa bado unahit youtube na watu wanauangalia basi hujafanya homework yako vizuri
kuna mwimbo unaitwa NOVEMBER RAIN ya GUNS AND ROSES ni ya mwaka 90 kama sikosei i doubt mtoa mada kama ulikuwa umezaliwa ina viewrs 400 MIL youtube
na video inaendelea ku hit kwa sababu ya Scene ya SLASH akipiga gitaa kwenye nyimbo hiyo inahesabiwa kuwa ni one of the best guitar solo of alltime https://www.youtube.com/watch?v=8SbUC-UaAxE
cc nifah kiker kende jacjaz bizle11 Jambazi MosDef data
mkuu youtube ilianzishwa mwaka gani?https://youtu.be/8SbUC-UaAxE
Kama ulikuwa unamaanisha mwimbo wa zamani kuwa bado unahit youtube na watu wanauangalia basi hujafanya homework yako vizuri
kuna mwimbo unaitwa NOVEMBER RAIN ya GUNS AND ROSES ni ya mwaka 90 kama sikosei i doubt mtoa mada kama ulikuwa umezaliwa ina viewrs 400 MIL youtube
na video inaendelea ku hit kwa sababu ya Scene ya SLASH akipiga gitaa kwenye nyimbo hiyo inahesabiwa kuwa ni one of the best guitar solo of alltime nimeiweka link yake hapo juu muione
cc nifah kiker kende jacjaz https://www.jamiiforums.com/member.php?u=101296