Hii sabuni ya Imperial bado ni halisi au Mchina ameboresha formula?

clinician

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2014
Posts
2,098
Reaction score
4,926
Mshana Jr kuna uzi humu ulikuwa unaongelea vitu vya zamani vyenye ubora ambavyo kwa sasa havipo.

Nakumbuka mmoja wa wachangiaji alikuwa ni Mshana Jr na moja ya bidhaa iliyolalamikiwa kuchakachuliwa ni sabuni ya Imperial Leather.

Well nilikutana na hii kitu dukani Musoma huko, ngoma imebaki hivi. Mzigo ni wenyewe au mchina kaboresha formula?

 
Atakuwa kachefukwa na mwenendo wa 5imba
 
Muda Sasa brother mshana Jr hajaonekanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…