Atakuwa kachefukwa na mwenendo wa 5imbaKuna uzi humu ulikuwa unaongelea vitu vya zamani vyenye ubora ambavyo kwa sasa havipo.
Nakumbuka mmoja wa wachangiaji alikuwa ni Mshana Jr na moja ya bidhaa iliyolalamikiwa kuchakachuliwa ni sabuni ya Imperial Leather.
Well nilikutana na hii kitu dukani Musoma huko,ngoma imebaki hivi. Mzigo ni wenyewe au mchina kaboresha formula?View attachment 3008212View attachment 3008213
😂😂😂 Mshana mzee wa ulozi hawezi kuwa Clinician.Sio kwamba unajiulizia?
Muda Sasa brother mshana Jr hajaonekanaaKuna uzi humu ulikuwa unaongelea vitu vya zamani vyenye ubora ambavyo kwa sasa havipo.
Nakumbuka mmoja wa wachangiaji alikuwa ni Mshana Jr na moja ya bidhaa iliyolalamikiwa kuchakachuliwa ni sabuni ya Imperial Leather.
Well nilikutana na hii kitu dukani Musoma huko,ngoma imebaki hivi. Mzigo ni wenyewe au mchina kaboresha formula?View attachment 3008212View attachment 3008213
Yule jamaa hana surprise,msimu mzima alishauona kwenye mtungi.Atakuwa kachefukwa na mwenendo wa 5imba
😂😂😂 Wee mama acha maneno,Usiwaite Chaputa kwenye huu uzi.dronedrake mwamnyeto.....
dronedrake mwamnyeto.....
Sio kawaida yake,ni mtu wa kujichanganya nadhani kuna watu wanajua why yupo kimya.Muda Sasa brother mshana Jr hajaonekanaa
Upo vizuri sana....🤣Ingekuwa imeisha kwa uduara sio bapa...
Negative kivipi bro,sijakuelewa? Camera ni ya simu Realme 10 pro+Mkuu hii mkono umepiga na camera ya simu Gani , mbona imetoka clear sana harafu negative kweli, au unasema uongo ndugu zangu🤣😆