Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kawaida for sure waliopo karibu yake wanaweza kutujuza zaidi..Sio kawaida yake,ni mtu wa kujichanganya nadhani kuna watu wanajua why yupo kimya.
Upo vizuri sana....🤣
Kuna uzi humu ulikuwa unaongelea vitu vya zamani vyenye ubora ambavyo kwa sasa havipo.
Nakumbuka mmoja wa wachangiaji alikuwa ni Mshana Jr na moja ya bidhaa iliyolalamikiwa kuchakachuliwa ni sabuni ya Imperial Leather.
Well nilikutana na hii kitu dukani Musoma huko,ngoma imebaki hivi. Mzigo ni wenyewe au mchina kaboresha formula?View attachment 3008212View attachment 3008213
Shemeji, usikute dronedrake anaitumia picha yako kwenda kwa Mwamnyeto, kupitia kwa Sopu..!!dronedrake mwamnyeto.....
Naunga mkono hojaKujichua ni dhambi
Nimependa experience 😹😹Hahah, nilihisi tu akili zako zitatoa hii comment...
Mkuu hata kama yupo,lakini mshana yupo kimya sana,sio kawaida yake.
🤣🤣....JF ni kama maji, usipoyanywa au kuyaogea basi uatayaniwia hata uso
Natania tu mkuu we,Negative kivipi bro,sijakuelewa? Camera ni ya simu Realme 10 pro+
Jamaa yupo chini ya waba 😂
Ukimkosa huko njoo kibaha. Mshana Jr ana makazi mengi.Ukienda nyumbani kwake Msata, utampata.
Sie tunao oga mton haituhusuMshana Jr kuna uzi humu ulikuwa unaongelea vitu vya zamani vyenye ubora ambavyo kwa sasa havipo.
Nakumbuka mmoja wa wachangiaji alikuwa ni Mshana Jr na moja ya bidhaa iliyolalamikiwa kuchakachuliwa ni sabuni ya Imperial Leather.
Well nilikutana na hii kitu dukani Musoma huko, ngoma imebaki hivi. Mzigo ni wenyewe au mchina kaboresha formula?
View attachment 3008212View attachment 3008213
Mani Bakari NondoMshana Jr kuna uzi humu ulikuwa unaongelea vitu vya zamani vyenye ubora ambavyo kwa sasa havipo.
Nakumbuka mmoja wa wachangiaji alikuwa ni Mshana Jr na moja ya bidhaa iliyolalamikiwa kuchakachuliwa ni sabuni ya Imperial Leather.
Well nilikutana na hii kitu dukani Musoma huko, ngoma imebaki hivi. Mzigo ni wenyewe au mchina kaboresha formula?
View attachment 3008212View attachment 3008213
Chaputa wenzio washasema VAR imekataa hilo sio goli.Mani Bakari Nondo
KupashaChaputa wenzio washasema VAR imekataa hilo sio goli.