Hii sabuni ya Imperial bado ni halisi au Mchina ameboresha formula?

Mods bwana kwa kujifanya wajuaji,naona wamebadili title yangu. Nilikuwa na akili timamu wakati naandika huu uzi,na title nimeandika nikijua nachofanya,Ubunifu uko wapi kama mnataka watu wote jukwaani tufuate akili za mods sita hapo ofisini kwenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…