Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
umeshakunywa uji??Kiukweli harmonize hatofanikiwa kimuziki kamwe hata amalize waganga na waganguzi huko chitoholi ila suala la kupiga hatua ya kimuziki halitawezekana asilani abadani.
Jamaa hana ubunifu kabisa ,anamuiga Diamond kwa kila kitu ,anatembelea sana nyota ya diamond ila haambulii kitu.
Embu angalia hapa anaiga mpaka idadi ya following [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii haiwezi kuwa coincedence hata kidogo.View attachment 1202426View attachment 1202427
Mbatata.Wew jamaa ni kiazi kabisa, aiseee
Awana hiyana kabisa. Mbona za Alikiba Kama zote. Wasafi FM. Na Tv awabagui Kama Clouds.Jana WASAF FM
walikuwa wanagonga ngoma zake kama kawa, kweli jamaa hawana bif, nimesikia hadi ngoma ya A. MCHOMVU wa XXL