Hii sasa Harmonize ni too much

Hii sasa Harmonize ni too much

kila uumbaji haukosagi kasoro harmonize ni kasoro katika uumbaji wa Platnumz diamond .

hata mungu alifanyaga mistake kama hii hii sheitwan akatokea na mpka sasa anamsumbua.
 
Hahahahaha

Mimi Kama Mwenyekiti Wa Wapiga Chabo Tanzania(WACHATA) Member Huyo Hatumtambui Kwenye Upigaji Chabo Hiyo Ni Coincidence
 
we jamaaa demu wake mond nini?......maana this is too much....really though..where in this world did u get the f#$king time kuangalia upuuzi huo??? dah aiseee kwa kweli...
 
Hate has never done anyone, in any way, any good. Looking at the situation in a logical point of view, Harmonize may not even be certain what is the actual number of a/c he is currently following on instagram.

It's good to give opinions, but it is better to know what opinions need to be shared. Read and listen carefully what you typed am sure you will understand what am saying - know when to draw a line.

Speaking of that, you are not God to decide who makes it in life and who does not. Man up!
 
Unashangaza sana wakati yupo wcb ulimpenda kajitoa unamchukia.....mablack tuna roho za ajabu sana
Kiukweli harmonize hatofanikiwa kimuziki kamwe hata amalize waganga na waganguzi huko chitoholi ila suala la kupiga hatua ya kimuziki halitawezekana asilani abadani.

Jamaa hana ubunifu kabisa ,anamuiga Diamond kwa kila kitu ,anatembelea sana nyota ya diamond ila haambulii kitu.

Embu angalia hapa anaiga mpaka idadi ya following [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii haiwezi kuwa coincedence hata kidogo.View attachment 1202426View attachment 1202427
 
1568077866442.jpeg
 
Back
Top Bottom