Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Angalia hii zawadi ya Miss Kanda ya Ziwa 2018 (Miss Lake Zone) ifike wakati sasa tuache kuwadhalilisha mabinti zetu tunaua morali na vipaji kwa upuuzi kama huu....#WTF
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....
Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.
Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.
Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.
UPDATES
==============
Baada ya Picha ya gari kimeo kwa ajili ya zawadi ya miss kanda ya ziwa kusambaa mitandaoni....
Waandaaji wa Miss Tanzania, The Look Company kupitia kwa Mkurugenzi wake Basilla Mwanukuzi wameikataa zawadi hiyo ya gari aina ya Passo yenye thamani ya shilingi Milioni 8,kwa mujibu wa Mwanukuzi amesema wameandikia barua waandaaji wa Miss Lake Zone kuwa wabadilishe zawadi hiyo huku nakala ya barua hiyo pia ikipelekwa BASATA.
Mwanukuzi amesema waandaaji wadogo wadogo wa mashindano kama hayo hawana ulazima wa kutoa zawadibkubwabkubwa na badala yake wanatakiwa kuwaandaa na kutafuta warembo kwa ajili ya mashindano makubwa ya Kitaifa.
Mashindano hayo ya miss Lake Zone yanatarajia kufanyika keshoJumamosi, august 4,jijini Mwanza.