Hii sasa ni zaidi ya ukame, Jamani kutoswa kubaya!

alivyokuwa mdogo kingejiminya angekuwa nacho leo??? au Kloro wataka sema watoto wa kiume wakiwa na miezi hadi miaka 10 wanafanya sex?:bange:

ni baada ya kubalehe ndo inadata kama haipati chakula yake
 
Sasa unataka tukusaidie vipi wakati tayari unajua unachokitaka???

Si mumpe anachokitaka? Kuweni na huruma jamani maana mtu hadi kafikia Jf! Siyo kawaida, ila naye hana pumzi, mbona mizi U michache sana? Mpeni atakacho jamani.
 
Si mumpe anachokitaka? Kuweni na huruma jamani maana mtu hadi kafikia Jf! Siyo kawaida, ila naye hana pumzi, mbona mizi U michache sana? Mpeni atakacho jamani.
Kwani anachotaka kinagawanywa hapa???
 
Kwani anachotaka kinagawanywa hapa???

Lakini ndio mwanzo wa safiri! Ma-contact nk.
Yeye ameamua kuanzia hapahapa na siyo barabarani au bar.
Wakwetu huyu anawataka nyie tu!
 
Jaman hata msiombe yawatokee, mwaweza zani ni stori bt ki ukweli kale kamchezo kazuri!
 
Tafuta wa kukupoza maganzi.....
 
Ndio nasaka aisee, wapenz wanathamani jaman, msiwatende wapenzi wenu yasije wafika km yangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…