Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
.....sana sana sana sana sana sana sana tena sana sana sana sana tena sana
YouTube - MISS YOU LIKE CRAZY - NATALIE COLE
Thank you BAK....at least you understand....l.o.l
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.....sana sana sana sana sana sana sana tena sana sana sana sana tena sana
YouTube - MISS YOU LIKE CRAZY - NATALIE COLE
umeskiliza matangazo ya vifo?
umeskiliza matangazo ya vifo?
halaf mwambie ze finest alejeshe raba langu, aliniazima, alisema anakutoa out atalejesha last wednesday, hajalejesha mpaka leo. tutaanzishiana sredi ujue.yeaahh kuna mtu alizidishiwa Klorokwini. hahahahah lol
unaombwa kurudi kwenye mada Lizzy, halaf nilikumiss mpaka konda wa daladala nikajishtukia namuita Lizzy. Haujambo?
Anataka wadada wajilengeshe!!Lakini pia Lizy kwanini tusiende na fact tu...kanini tukubali kupigwa dana dana...huyu mtu maelezo yake yanaonesha ni player sasa amewezaje kukaa miezi yote hiyo km sio tutushika masikio
halaf mwambie ze finest alejeshe raba langu, aliniazima, alisema anakutoa out atalejesha last wednesday, hajalejesha mpaka leo. tutaanzishiana sredi ujue.
nani alikuudhi nikamloge? yaani as long as niko hai wewe hautakiwi kupata shida kabisa. taja jina, nivae helizi fastaOrait orait....mi mzima kiasi japo niliumwa mpaka kizidiwa!Kama sio sprint sijui ningekua wapi!!!Missed you sana...
Nilisikiliza nikasikia Klorokwini wa JF umetangazwa marehemu,ghafla nakuona JF usiku wa leo....au wewe ni ghost?
Hashy kama Osama,kifo chake hakieleweki....l.o.l
Nilisikiliza nikasikia Klorokwini wa JF umetangazwa marehemu,ghafla nakuona JF usiku wa leo....au wewe ni ghost?
Hashy kama Osama,kifo chake hakieleweki....l.o.l
Ati nini
kwanza sijaona hizo raba
mbili last Wednesday alisema
vijana mnakutana kwa vinywaji tu
kwenye Geto lako .. Hivi ina maana...................??????????
lazima mtu aruke kichura chura leo..
Nadhani mtu wa hapa hapa MMU kanionea wivu na Thanks zangu!Mshughulukie alafu kesho unitoe brunch!nani alikuudhi nikamloge? yaani as long as niko hai wewe hautakiwi kupata shida kabisa. taja jina, nivae helizi fasta
Deal signedNadhani mtu wa hapa hapa MMU kanionea wivu na Thanks zangu!Mshughulukie alafu kesho unitoe brunch!
hehe huku geto huyo jamaa yako ni wanted, majuzi aliingia gizani na boksi la kondom la a.k.a "mlezi wa ghetto".
mkipigana kibuti usisite kunijulisha
Wakujilengesha hivi bado wapo tena...maana kwa mbinu hii hata bibi yangu wa Matombo atagundua mapema tu....
Ndo maana hua natamani kukupenda....!Deal signed
acha nimalizane nae kigiza giza, kesho ataamka na mimba ya ufizi. hapa niko vere serious
Ndo maana hua natamani kukupenda....!
ati nini Boksi la kondom??
anazitumiaga wapi ??
maana mi na ye ni kavu kaavu mmmhhhh
kila jtano ijumaa na jmosi asubui anasema anakuja
kukuona wewe mmmhhh. sasa ngoja nikafanye kazi fulani hivi
sala zako zitakuwa muhimu kwangu kwa kipindii hii nikiwa rumande
unikumuke .....