have me baby
Member
- Apr 7, 2011
- 8
- 0
jamaa afumaniwa na mke wa mtu,apigwa mawe mpaka kufa,mshikaji 1 kajitokeza akauliza "hivi waliyofanya kitendo hiki anaakili kweli?watu wakamuuliza kwann?kajibu'hawaoni mvua hizi'mwenye mke akamuuliza 'ungekuw ww je?'akajibu 'ningekuwa mm ningemuachia2'.....JE ingekutokea ww mke wako wa ndoa kabisa,ungefanya nn???
DA, KUJAZA POST KAZI KWELI....:blabla:
DA, KUJAZA POST KAZI KWELI....:blabla:
mh!! Yani have me baby na hz thread zako?? Kazi kwel kwel, kuna member alshasema bora wengne tubakie kuwa wachangiaji tu! Au hukumwelewa?
umeona DA???-18 @work
mpaka wanaboa mpendwa, cjui wanaambizana??? Wanafanansha Jf na Fb au??? Cjui wanasoma 4m two B hawa?? Manake mh!!Thread hizi ngoja tu naona wameanza tena walipungua naona kasi inazidi
</p>Thread hizi ngoja tu naona wameanza tena walipungua naona kasi inazidi
jamaa afumaniwa na mke wa mtu,apigwa mawe mpaka kufa,mshikaji 1 kajitokeza akauliza "hivi waliyofanya kitendo hiki anaakili kweli?watu wakamuuliza kwann?kajibu'hawaoni mvua hizi'mwenye mke akamuuliza 'ungekuw ww je?'akajibu 'ningekuwa mm ningemuachia2'.....JE ingekutokea ww mke wako wa ndoa kabisa,ungefanya nn???
Hembu niambieni mana kamili ya hili neno(MAPENZI)mana nimechoka kwakulifikiria.
umeonae eehh!!!
jamaa afumaniwa na mke wa mtu,apigwa mawe mpaka kufa,mshikaji 1 kajitokeza akauliza "hivi waliyofanya kitendo hiki anaakili kweli?watu wakamuuliza kwann?kajibu'hawaoni mvua hizi'mwenye mke akamuuliza 'ungekuw ww je?'akajibu 'ningekuwa mm ningemuachia2'.....JE ingekutokea ww mke wako wa ndoa kabisa,ungefanya nn???
Ha ha ha... Sio maana hiyo dada Dena, I meant to say like, du! Ha ha ha... u a vere vere...Mkare ulikuwa unamaanisha nini hapo????