ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
sikatai kweli utendaji kazi wa serikali upo chini ya kiwango lakini ikumbukwe sababu zinaweza kuwa ni nyingi.
Maslahi duni na kufanya watumishi kuchoka choka
Madeni waliyonayo yanawatia stress
Uongozi mbaya unakuta top management wanakula wao tu huku wafanyakazi wa chini wakibaki kuangalia na hawana la kufanya
Ufinyu wa bajeti
N.k
Sasa kama ni hivyo naomba sana enyi watunga sera muwe makini sana msajili wa hazina na huyo kafulila waangalie labda kama kwa mashirika yanayofanya biashara na yenye mitaji mikubwa.
Lakini sio kwenda kuwapa private kazi zile ambazo zingeweza kufanywa na waajiriwa tena wa hali ya chini na ndo kula yao wanapatia hapo ada za watoto n.k.
Maana watakuja na gear kwamba kwenye miradi tutawashirika wote ila ukweli ni kwamba hio unakura ni michongo tu ya vigogo huko juu..kazi zitafanyika mwajiriwa anabaki kuwa kama SHUHUDA.
Maslahi duni na kufanya watumishi kuchoka choka
Madeni waliyonayo yanawatia stress
Uongozi mbaya unakuta top management wanakula wao tu huku wafanyakazi wa chini wakibaki kuangalia na hawana la kufanya
Ufinyu wa bajeti
N.k
Sasa kama ni hivyo naomba sana enyi watunga sera muwe makini sana msajili wa hazina na huyo kafulila waangalie labda kama kwa mashirika yanayofanya biashara na yenye mitaji mikubwa.
Lakini sio kwenda kuwapa private kazi zile ambazo zingeweza kufanywa na waajiriwa tena wa hali ya chini na ndo kula yao wanapatia hapo ada za watoto n.k.
Maana watakuja na gear kwamba kwenye miradi tutawashirika wote ila ukweli ni kwamba hio unakura ni michongo tu ya vigogo huko juu..kazi zitafanyika mwajiriwa anabaki kuwa kama SHUHUDA.