Wakuu imebidi nije niwashirikishe hapa.
Kuna shule moja hapa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro inaitwa Patmos Secondary School..
Nimevutiwa na mengi sana kwenye hii shule inayochipukia kwa kasi sana.
Ilikuwa siku ya Jumapili wakati niko na wadau flani kuelekea Chemka! Chemka ni sehemu yenye hot spring.
Wakati tunaelekea ndio tukakiona kibao cha hii shule ya sekondari ninayoisema hapa.
Maeneo ya shule siyo mazuri sana, ni changa! ila utashi na uwezo wa wanafunzi ndiyo ulitufurahisha sana, wana nidhamu ya hali ya juu na ukarimu uliotukuka.
Tuliyajua haya baada ya kusema na wachache, pia ni shule (naamini) yenye wanafunzi wenye uwezo mkubwa katika kuimba na kuabudu kuliko shule yeyote ile kwa Mkoa huu wa Kilimanjaro.
Uzuri na nidhamu ya wanafunzi ilitufanya jumatatu iliyofuata kutafuta records zake kitaaluma,
Tulikutana na Mwalimu wa taaluma aliyetuonyesha recently records, kwa kidato cha pili
Kwa mwaka huu na mwaka jana.
Ambapo mwaka jana Walishika nafasi ya 6 kati ya shule 40 zilizoshiriki mtihani wa taifa
Na kuna kijana aliyepata 99% kwenye hisabati.
Mwaka huu kwenye mtihani wa Mock wilaya walishika tena nafasi ya 5 kati ya shule 39 zilizofanya Mtihani huo..
Niliipenda sana hii shule hasa kwenye malezi yao ya kiroho na jinsi wanavyomaintain nidhamu kwa wanafunzi.
Regardless mazingira yao kuwa machanga still they can run beyond many Old Schools in Kilimanjaro.
Viva Patmos!!
Hapa ni mahali salama kwa watoto wetu kupata elimu bora.
Mdogo wangu sasa kapata shule..
Kuna shule moja hapa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro inaitwa Patmos Secondary School..
Nimevutiwa na mengi sana kwenye hii shule inayochipukia kwa kasi sana.
Ilikuwa siku ya Jumapili wakati niko na wadau flani kuelekea Chemka! Chemka ni sehemu yenye hot spring.
Wakati tunaelekea ndio tukakiona kibao cha hii shule ya sekondari ninayoisema hapa.
Maeneo ya shule siyo mazuri sana, ni changa! ila utashi na uwezo wa wanafunzi ndiyo ulitufurahisha sana, wana nidhamu ya hali ya juu na ukarimu uliotukuka.
Tuliyajua haya baada ya kusema na wachache, pia ni shule (naamini) yenye wanafunzi wenye uwezo mkubwa katika kuimba na kuabudu kuliko shule yeyote ile kwa Mkoa huu wa Kilimanjaro.
Uzuri na nidhamu ya wanafunzi ilitufanya jumatatu iliyofuata kutafuta records zake kitaaluma,
Tulikutana na Mwalimu wa taaluma aliyetuonyesha recently records, kwa kidato cha pili
Kwa mwaka huu na mwaka jana.
Ambapo mwaka jana Walishika nafasi ya 6 kati ya shule 40 zilizoshiriki mtihani wa taifa
Na kuna kijana aliyepata 99% kwenye hisabati.
Mwaka huu kwenye mtihani wa Mock wilaya walishika tena nafasi ya 5 kati ya shule 39 zilizofanya Mtihani huo..
Niliipenda sana hii shule hasa kwenye malezi yao ya kiroho na jinsi wanavyomaintain nidhamu kwa wanafunzi.
Regardless mazingira yao kuwa machanga still they can run beyond many Old Schools in Kilimanjaro.
Viva Patmos!!
Hapa ni mahali salama kwa watoto wetu kupata elimu bora.
Mdogo wangu sasa kapata shule..