Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Yani taasisi kubwa kama hii inafyeka hela za wateja kiasi hiki? Serikali itupie jicho hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni ushuzi wa bata kabisaYani taasisi kubwa kama hii inafyeka hela za wateja kiasi hiki? Serikali itupie jicho hapa
View attachment 2995191
Hukujua riba zao kabla ya kukopa? Vigezo na masharti yao ulikubaliana navyo?Yani taasisi kubwa kama hii inafyeka hela za wateja kiasi hiki? Serikali itupie jicho hapa
View attachment 2995191
Too much. Pia waache kupromote mikopo yao kwenye akaunti za watu. Kwa namna wanavyokuambia kuwa kiwango chako cha mkopo ni hiki, waweke na riba yake kwa % wakiambatanisha na jumbe zao. Zaidi ya hapo ni wezi tuHukujua riba zao kabla ya kukopa? Vigezo na masharti yao ulikubaliana navyo?
Huna namna. Wamekulamba, na inakubidi kulipa.
Wamekupa kabisa mwezi mzima.
Hapanakikubwa imekusort kwenye kulipa utajua tu
😡hapo umeyatimba
kuongea nao wapigie kuanzia sambili asubuhi mpaka saa nane hivi wanapokea bila shida kabisa kwa namba ya 100Mbaya zaidi hata ukitaka kuwapigia kupitia customer care huwezi kuwapata. Wankupa maelezo weee hadi unaishia njiani.
Kwa anayejua kuwapigia voda unatumia namba gani?
Ah! Utapewa maelezo.hadi uchoke. Kile kipengele cha "kuongea na mshauri wetu bonyeza..." Hicho kipande hakunakuongea nao wapigie kuanzia sambili asubuhi mpaka saa nane hivi wanapokea bila shida kabisa kwa namba ya 100