Hii si kausha damu hii?

Hii si kausha damu hii?

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Yani taasisi kubwa kama hii inafyeka hela za wateja kiasi hiki? Serikali itupie jicho hapa
mpawa.jpeg
 
Hukujua riba zao kabla ya kukopa? Vigezo na masharti yao ulikubaliana navyo?

Huna namna. Wamekulamba, na inakubidi kulipa.

Wamekupa kabisa mwezi mzima.
Too much. Pia waache kupromote mikopo yao kwenye akaunti za watu. Kwa namna wanavyokuambia kuwa kiwango chako cha mkopo ni hiki, waweke na riba yake kwa % wakiambatanisha na jumbe zao. Zaidi ya hapo ni wezi tu
 
Mbaya zaidi hata ukitaka kuwapigia kupitia customer care huwezi kuwapata. Wankupa maelezo weee hadi unaishia njiani.
Kwa anayejua kuwapigia voda unatumia namba gani?
 
Mbaya zaidi hata ukitaka kuwapigia kupitia customer care huwezi kuwapata. Wankupa maelezo weee hadi unaishia njiani.
Kwa anayejua kuwapigia voda unatumia namba gani?
kuongea nao wapigie kuanzia sambili asubuhi mpaka saa nane hivi wanapokea bila shida kabisa kwa namba ya 100
 
Tatizo wabongo hamjui madhara ya muda. Time is money... hapo huo mwezi mzima angezungusha unafikiri angeingiza shingapi?
 
kuongea nao wapigie kuanzia sambili asubuhi mpaka saa nane hivi wanapokea bila shida kabisa kwa namba ya 100
Ah! Utapewa maelezo.hadi uchoke. Kile kipengele cha "kuongea na mshauri wetu bonyeza..." Hicho kipande hakuna
 
Back
Top Bottom