Hii Simba jamani kuna siku mtu atakula bao 10, nyie ngojeni tu

Hii Simba jamani kuna siku mtu atakula bao 10, nyie ngojeni tu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Nimeangalia tena marudio ya ile gemu ya jana Simba vs Yanga, hakyamungu msimu huu kuna fala atakula 10, ni suala la muda tu.

Mm uzuri wake sio mgeni mechi za Simba vs Yanga, nimeanza kwenda uwanjani shamba la bibi Simba ile ya golini Mosses Mkandawile, kulia marehem Rafael Paul, kushoto Twaha Hamidu, nne Juma Seleman, sala Juma Limonga sita Aston Pardon.

Kwahiyo watoto wadogo waliozaliwa pamoja na akina Hamissa Mobetto, Dullah Makabila, Meja Kunta, Diamond, Harmonize, Mwijaku, Babalevo wanapotukana eti naendekeza ushirkina sana mwenye post zang nawaangalia tu.

Ila am sure mpira wa bongo hauwezi kufanikiwa bila mipango ya nje kwa sababu sisi agenda ya youth academy program is a myth.

Mukoko tonombe juzi amesema ukweli, mechi ya Simba vs Yanga wanaambiwa wasiwe na presha ile ni mechi ya viongozi, wao wafuate masharti yao tu, ndio maana jana mmeona wachezaji wa yanga wamepanda mabasi tofauti tofauti kwenda uwanjani.

Simba jana boli limetembea sana, kama sio Mzamiru kuleg lega hakukuwa na Pacome wala ushuzi wa Mzengeli, simba hii viungo Okajepha, Debora, Kagoma, Awesu, Ahoua kudadeki.

Ngoja gari liwake tutatafutana hapa hapa
 
Yanga walibebwa na Ref..clear penalt ya Simba sc wamenyimwa..eti na wao wanadai goli la wizi la aziz ki na fauli zingine...ila jana yanga walikuwa wafungwe 2
Umewahi kucheza mpira? Uongozi wa jamii forum wekeni mojawapo ya sifa ya kuchangia jukwaa hili la michezo iwe kwa mtu aliecheza mpira na sio wapumbavu kama huyu
 
Simba hakuna wachezaji, watapigwa kwenye ligi hadi washangae.
 
Umewahi kucheza mpira? Uongozi wa jamii forum wekeni mojawapo ya sifa ya kuchangia jukwaa hili la michezo iwe kwa mtu aliecheza mpira na sio wapumbavu kama huyu
Mpumbavu wewe
Umewahi kucheza mpira? Uongozi wa jamii forum wekeni mojawapo ya sifa ya kuchangia jukwaa hili la michezo iwe kwa mtu aliecheza mpira na sio wapumbavu kama huyu
We ndio mpumbavu kiwango cha lami aisee...kama unajua mpira ule unyama aliofanyiwa mchezaji wa Simba kwenye dk za nyiongeza inaliwekaje hilo...clear penati kabisa unaleta ushabiki matope hapa..mpumbavu weww
 
Makolo bhana...ila msipoangalia muda si mrefu nafasi yenu ya upinzani vs Yanga itachukuliwa na lambalamba
 
Yanga walibebwa na Ref..clear penalt ya Simba sc wamenyimwa..eti na wao wanadai goli la wizi la aziz ki na fauli zingine...ila jana yanga walikuwa wafungwe 2
Post kama hizi ndio zinanifanye niamini mashabiki wengi wa Simba ni mbumbumbuu!
 
Kweli mashabiki wa Simba ni matahira.
Kabla ya mechi walijihakikishia ushindi kwa 100% eti kwakuwa wameroga vizuri
Baada ya dk 45 na kula goli wakajipa tumaini kuwa watarudisha goli na kushinda zaidi
Baada ya dk 90 wanasema wana wachezaji wazuri hivyo watabeba kombe
 
Nimeangalia tena marudio ya ile gemu ya jana Simba vs Yanga, hakyamungu msimu huu kuna fala atakula 10, ni suala la muda tu.

Mm uzuri wake sio mgeni mechi za Simba vs Yanga, nimeanza kwenda uwanjani shamba la bibi Simba ile ya golini Mosses Mkandawile, kulia marehem Rafael Paul, kushoto Twaha Hamidu, nne Juma Seleman, sala Juma Limonga sita Aston Pardon.

Kwahiyo watoto wadogo waliozaliwa pamoja na akina Hamissa Mobetto, Dullah Makabila, Meja Kunta, Diamond, Harmonize, Mwijaku, Babalevo wanapotukana eti naendekeza ushirkina sana mwenye post zang nawaangalia tu.

Ila am sure mpira wa bongo hauwezi kufanikiwa bila mipango ya nje kwa sababu sisi agenda ya youth academy program is a myth.

Mukoko tonombe juzi amesema ukweli, mechi ya Simba vs Yanga wanaambiwa wasiwe na presha ile ni mechi ya viongozi, wao wafuate masharti yao tu, ndio maana jana mmeona wachezaji wa yanga wamepanda mabasi tofauti tofauti kwenda uwanjani.

Simba jana boli limetembea sana, kama sio Mzamiru kuleg lega hakukuwa na Pacome wala ushuzi wa Mzengeli, simba hii viungo Okajepha, Debora, Kagoma, Awesu, Ahoua kudadeki.

Ngoja gari liwake tutatafutana hapa hapa
...ngao ya jamii mshindi wa tatu coastal
 
Back
Top Bottom